juliana coaster22
Member
- Oct 3, 2022
- 28
- 17
Ata mm naona email yao, nliappy afu mm ni Freshers kweny ilo swala, ata cjui nafanyaje![]()
kama mm tu

Ata mm naona email yao, nliappy afu mm ni Freshers kweny ilo swala, ata cjui nafanyaje![]()

Hivi hii test ni saa ngapi?? Maana wanachanganya kwenye Text wanasema 8.00 am na ukisoma email ni saa 10:00 am ??
Kwenye pepaNaomba kufahamishwa ukienda kufanya huko huko means unafanyia kwenye pepa au ni online pia kama tulivozoea uptitude zingine?
Simu hapana, calculator wanaruhusujamani calculator zinaruhusiwa au simu mwenye info tafadhali
jamani calculator zinaruhusiwa au simu mwenye info tafadhali
Email inasema ni 10:00 amMi nimeona ni 8.30 Am
Oooh Kumbe uhakika ni saa 10:00 amMessage Zinazosema 8:30 Walisema tuzipuuze.
kuna wengine ni 8:00 kwenye email Kwahyo inategemea kwenye email umeandikiwa saa ngap kuna saa 8:00 na saa 10:00Oooh Kumbe uhakika ni saa 10:00 am
Duh, sasa wataruhusu kuingia kama umechelewaHello, guys wale wa BOO interview ni saa 0800 na sio saa 1000
Hawajafika. Sema jamaa wapo sloo sanaaWatu elf 10 mia saba na 77 😂😂😂💔
Kama huna connection hiyo bank hupatiWatu elf 10 mia saba na 77 😂😂😂💔
Kwann mkuu?Kama huna connection hiyo bank hupati
Kama huna connection hiyo bank hupati
Ungekuwepo pale ungefaulu mtihani wote, watu wametoka wakawa wanatoa majibu ya maswali.Connection tupeane ndugu...