Hapana, nimeelezwa milipuko hiyo inayosababisha moshi mkubwa hewani ipo maeneo ya Mbagala ilipo ghala ya silaha za Jeshi.
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
Watu wameambiwa wasiende kwenye eneo la tukio
lakini mijitu mingine itakimbilia kwenda kuangalia ni sawa na wale wanaokimbilia kwenye magari ya mafuta kuchota wanaishia kuungua..
kule hakuna kitu labda vyuma chakavu
mtadhurika hakuna cha kuchukua kule
--------------------------------------------------------------------------------
kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki
Si kweli.Naambiwa kuna gari lilikuwa limebeba mabomu likapinduka maeneo ya gongo la mboto waliko maeneo hayo watupe ukweli...
rahisi sanau can easily know the hopeless thoughts
Pale Dodoma kuna hospitali nzuri sana (inaitwa Mirembe) GT kama unahitaji tiba waweza kwenda pale utasaidiwa.kwani hii ya leo inatofauti na ile ya jana?
maana jana i was so uncomfortable..unajua tena you never know hawa CHADEMA hawaaminiki