Kwa wale mlio Dar,
Kutakuwa na milipuko flani mnaisikia. Ni mabomu ambayo yanalipuka eneo la kambi ya Jeshi Zakhem - Mbagala.
Hii inaweza kupelekea mitikisiko isiyotarajiwa.
Nimefahamishwa ili nitoe tahadhari hii mapema. Nini kinaenedelea? Tutafahamishana
Kwani kuna nini wakuu?
Isijekuwa kuna uvamizi
tutajua muda si mrefu ujao ... limepiga jingine sasa hivi