Apps nzuri na bure kwa Michezo, Movies, News

Apps nzuri na bure kwa Michezo, Movies, News

Msolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2008
Posts
3,829
Reaction score
5,269
Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo mbalimbali kwa gharama nafuu.

Hizi ni list ya Apps ninazotumia kwenye Android TV na Android phone.

1. Stremio - Hii kwaajili ya movies, Tv channels, una download add-ons kwaajili ya kuStream.

2. Criscfy - Hii kwaajili ya michezo (live matches zote) hii inafahamika zaidi.

3. Ministream - Hii ni kwaajili ya kuangalia channels zote za Azam Tv na Dstv.

Screenshots:
Stremio.

Screenshot_20250518-042455.png



Screenshot_20250518-042515.png


Cricfy


Screenshot_20250518-042641.png



Screenshot_20250518-042658.png


Ministream
Screenshot_20250518-042734.png

Screenshot_20250518-042820.png
 
natumia onstream, filmplus, hdo, flixvision (zote ni mods)
ila baba zao ni tivimate(kwa ajili ya iptv) nimelipia a lifetime sub , nikiload zile xtream codes na m3u playlists giveaways, nna malaki ya Live TV channels, zile FTA decoders na uchafu mwingine ziko kabatini
android box: T95Z Plus

beeg.PNG
 
Bonus: MovieBox hii kwaajili ya movies na series.
Hii ina mpinzani wake kwa sasa anaitwa NetMirror ni noma sana, ni folk ya Netflix yaani unaweza kuhisi unatumia Netflix yenyewe.. ila kuna feature muhimu ambayo watu ndo wanaipenda ya kudownload natively ndiyo ina miss ila movies zote unazoona kwenye Netflix na Prime Video hii una stream free ni bando lako tu.. bado naona wanaifanyia maboresho time to time kuongeza features mpya..
 
Hii ina mpinzani wake kwa sasa anaitwa NetMirror ni noma sana, ni folk ya Netflix yaani unaweza kuhisi unatumia Netflix yenyewe.. ila kuna feature muhimu ambayo watu ndo wanaipenda ya kudownload natively ndiyo ina miss ila movies zote unazoona kwenye Netflix na Prime Video hii una stream free ni bando lako tu.. bado naona wanaifanyia maboresho time to time kuongeza features mpya.
Hizi apps zimekuja kuondoa gap la hizi kampuni kuhodhi upatikanaji wa movies kwenye platforms zao pekee mfano Netflix, Prime, Apple au Hulu.
 
St
Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo mbalimbali kwa gharama nafuu.

Hizi ni list ya Apps ninazotumia kwenye Android TV na Android phone.

1. Stremio - Hii kwaajili ya movies, Tv channels, una download add-ons kwaajili ya kuStream.

2. Criscfy - Hii kwaajili ya michezo (live matches zote) hii inafahamika zaidi.

3. Ministream - Hii ni kwaajili ya kuangalia channels zote za Azam Tv na Dstv.

Screenshots:
Stremio.

View attachment 3337745


View attachment 3337748

Cricfy


View attachment 3337749


View attachment 3337750

Ministream
View attachment 3337751
View attachment 3337752m
Hizi apps zimekuja kuondoa gap la hizi kampuni kuhodhi upatikanaji wa movies kwenye platforms zao pekee mfano Netflix, Prime, Apple
Mkuu stremio kwangu inafunguka lakin aiplay movies sjui ata shida nin
 
Back
Top Bottom