Je ni sawa watoto wadogo (chini ya miaka 5) kutumia simu janja na mtandao?

  • Ndiyo ni Sahihi

    Votes: 8 19.0%
  • Si sahihi

    Votes: 23 54.8%
  • Inategemea, mambo yote yana uzuri na ubaya wake

    Votes: 11 26.2%

  • Total voters
    42

Tuni Comics Company

Senior Member
Dec 29, 2021
110
28
Untitled191_20220215214551-01.png


Habari zenu wana jf. Nimekuja hapa kuwatumbulishia application mpya inayoitwa Tuni. Hii app inapatikana Google Playstore na ina katuni mbalimbali zinazoweza kumsaidia mtoto wa kwanzia miaka mitatu na kuendelea, kujifunza kingereza kwa Kiswahili.

Untitled191-1-01.png


Ukishaipakua application kutoka Playstore, utaifunugua na kupakua katuni zinazopatikana kwenye database yetu. Katuni hizi zina mb chache hivyo kuokoa data bundle na nafasi kwenye simu.

App hii ni ndogo na nyepesi hivyo inaweza kutumika kwenye simu zenye RAM na nafasi ndogo. Ingawa ni ndogo, performance yake ipo kama app kubwa zinazotumia nafasi na RAM kubwa.

Untitled206_20220406202744.png

Tuni Comics kwenye Google Play store

Facebook

Tiktok

Instagram

Baadhi ya maoni tuliyopata kwenye Google Play store👇
2022-04-22 11.53.20.png


2022-04-22 11.53.59.png


MwanaJF aliyepakua app yetu kwenye simu yake 👇
Kama na wewe utapenda kushare nasi namna app inavyoonekana kwenye simu yako unaweza kupost kwenye huu uzi.

Jinsi ya kutumia App ya Tuni👇
Post in thread 'Application ya Watoto Kujifunzia' Application ya Watoto Kujifunzia

Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_2.gif


15bba9bc78c35c31d6643cb127ed3fab_2.gif
 

Attachments

  • Untitled266_20221231192620-01.png
    Untitled266_20221231192620-01.png
    562.4 KB · Views: 68
Pakua application ya Tuni kwenye simu yako ili mtoto wako aweze kuanza kujifunza mapema jinsi ya kusoma na kuandika kwa Kiingereza na Kiswahili.

Kwa sasa app hii inapatikana Google Playstore tu.
Screenshot_20211229-203823_Google Play Store.png



Untitled168_20211230124808.png
 
Jinsi ya kutumia app ya Tuni:

1. Ingia Google play store halafu uandike "tuni" kwenye sehemu ya kutafutia
Untitled169_20220112120032.png



2. Ukimaliza kuipakua utaifungua na kubonyeza kitufe kilichoandikwa BONYEZA KUINGIA au kwa kiingereza CLICK TO LOGIN. Utaingia moja kwa moja kwenye app bila kujaza taarifa zozote.
Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_2.gif

Screenshot_20220324-223504_Tuni.png


3. Ukishaingia unatakiwa uruhusu app iweze kutumia storage ya simu yako ili kuweza kupakua na kusoma katuni.

4. Ukimaliza kuruhusu utaona vutufe vyenye machaguo mawili ambayo ni ORODHA YA KATUNI (COMIC LIST) na PAKUA KATUNI (DOWNLOAD COMIC).
Screenshot_20220324-223740_Tuni.png


Ukibonyeza kitufe cha ORODHA YA KATUNI utaelezwa kwamba hakuna katuni mpaka upakue.
Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_5.gif

Screenshot_20220324-224853_Tuni.png


Bonyeza kitufe cha PAKUA KATUNI (DOWNLOAD COMIC) na kitakupeleka kwenye ukurasa wa kupakua katuni zilizopo.
Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_6.gif

Screenshot_20220324-224208_Tuni.png

Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_7.gif


5. Ukishabonyeza, subiri katuni imalize kupakuliwa na usiondoke kwenye app. Ikimaliza kupakuliwa itakutaarifu kwenye notification bar.
Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_4.gif


6. Kwenye app utarudi kwenye menu. Hapo kwenye menu utabonyeza kitufe cha ORODHA YA KATUNI(COMIC LIST) na utapata orodha za katuni zilizopakuliwa kwenye simu yako.
Screenshot_20220324-223740_Tuni.png

Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_1.gif

Screenshot_20220324-225419_Tuni.png

7. Bonyeza kitufe uanze kuisoma katuni yeyote. Katuni inakuwa na kurasa nyingi hivyo kutoka kwenye ukurasa mmoja kwenda mwingine unaswipe upande wa kulia. Ukitaka kurudi nyuma unaswipe upande wa kushoto.
Screenshot_20220324-225904_Tuni.png

Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_3.gif


Pia unaweza kuzoom in au kuzoom out ilikuona katuni vizuri zaidi
Screen_Recording_20220324-221843_Tuni_3.gif

Screenshot_20220324-225912_Tuni.png
 
Ahsanteni kwa kuendelea kupakua na kutumia application hii. Nawakumbusha kwamba ni vizuri mtoto asitumie zaidi ya masaa mawili kila siku kwenye application ili isimletee madhara huko mbeleni.
 
Habari za Jumapili, ahsanteni kwa kuendelea kutumia app hii. Kama wazazi/walezi ni vizuri kushirikiana na watoto kusoma katuni hizi ili waweze kujifunza kwa haraka na kukumbuka kwa muda mrefu zaidi.

Je wajua? Kadiri mtoto anavyorudia mara kwa mara kusoma na kuandika ndio jinsi anavyoelewa na kukumbuka zaidi?

Sasa wewe kama mzazi au mlezi ni vyema kila siku mtoto awe anatumia app hii ili aweze kujifunza kwa uhakika na asisahau kabisa. Lakini ni muhimu mtoto asitumie zaidi ya masaa mawili kwenye app hii kila siku.

Pia kukaa na kujifunza na mtoto kuna imarisha mahusiano mazuri baina yenu.
 
Tumeweka katuni mpya ambayo ni shairi linalohusu mti/miti. Nenda Google Playstore ukapakue update hii. Kama hujapakua app hìi nenda Google play store uipakue.

07.jpg
 
Tunapenda kuwahakikishia wateja wetu kwamba app hii ndio kwanza imeanza, itaendelea kuwepo haiendi popote, na tunazidi kuiboresha ili iwe app bora zaidi kwa matumizi yako. Hivyo hautajuta kabisa kuamua kutuamini.
 
Ahsanteni kwa kuendelea kutumia app hii. Wiki ijayo kutakuwa na maboresho mapya makubwa yatakayobadilisha kabisa muonekano na kurahisisha matumizi kwa wateja wetu. Hiyo kaeni mkao wa kula na msiache kuendelea kupakua na kuisambaza kwa wengine.
Tayari tumefanya maboresho makubwa. Toleo jipya la app yetu linapatikana Google Playstore. Kama umeshapakua usiache kupdate na kama hujapakua kabisa usisite kupakue ili usipitwe na mambo mazuri
Screenshot_20220324-223740_Tuni.png
 
Ahsanteni kwa kuendelea kutumia app hii. Msisite kutoa maoni yenu kwenye playstore ili tuyafanyie kazi na kama kuna tatizo lolote mnaweza kuwasiliana nasi hapa Jamii Forum kwe njia ya private messages (pm) au kwenye huu uzi.
 
Back
Top Bottom