Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Pamoja na sifa za kuwa na Kiwango kikubwa za ulinzi, simu za iOS naona bado kuna sehemu hawakufikiria zaidi au wameamua kupotezea.
1 . Kuhusu usalama wa simu kwa nini ukiwa umelock simu bado mtu yeyote anaweza kuwasha/ kuzima data?
2. Ukiwa umelock pia kwa nini mtu yeyote anaweza zima simu .
Nilitegemea hizi ishu zingetakiwa mtu a unlock simu kwanza ndio afanikiwe, sasa leo
1 . Kuhusu usalama wa simu kwa nini ukiwa umelock simu bado mtu yeyote anaweza kuwasha/ kuzima data?
2. Ukiwa umelock pia kwa nini mtu yeyote anaweza zima simu .
Nilitegemea hizi ishu zingetakiwa mtu a unlock simu kwanza ndio afanikiwe, sasa leo