Apple founder Steve Jobs dies

Apple founder Steve Jobs dies

article-2045842-0E3FE3CA00000578-355_634x458.jpg
 
Steve, siku zote alinivutia lakini ndio hivyo tena maradhi yamemwondoa, fikiria kazi yake njema mpaka akaipitia serikali kwenye akiba " Jobs' climb to the top was complete in summer 2011, when Apple listed more cash reserves than the U.S. Treasury and even briefly surpassed Exxon Mobil as the world's most valuable company".


source Steve Jobs, Apple founder, dies - CNN.com 06 oct 2011
 
RIP Steve...
Majuzi nilikuwa naona habari Al Jazeera abt new product ya Apple, na wakamuonesha Steve, i thought ni current videos kumbe ni frm library?...duh! kwel pesa inafika wakati HAIWEZI KUTETEA UHAI WA MWANADAMU HATA KWA GHARAMA GANI!!...
 
Apple has lost a visionary and creative genius, and the world has lost an amazing human being. Those of us who have been fortunate enough to know and work with Steve have lost a dear friend and an inspiring mentor. Steve leaves behind a company that only he could have built, and his spirit will forever be the foundation of Apple.

r.i.p steve job
 
He will always be remembered for the innovation he has brought to the market. RIP Steve
 
May GOD rest your Soul in Internal Peace Steve Jobs
 
Mchawi wa Teknolojia ametutoka, lakini uvumbuzi wake utadumu na kuendelezwa sasa na katika karne zijazo.
Mungu Amlaze Pahala Pema!
Katika Mkutano wake na wahitimu, Steve amewaachieni viajana ujumbe ufuatao. Ukipata wakati usikilize, kuna japo kitu kidogo utajifunza.
NB: Video hii ina subtitles katika Spanish, lakini lugha ya asili ni Kidhungu.

 
Last edited by a moderator:
SAN FRANCISCO (Reuters) -
Steve Jobs, the transcendent
Silicon Valley entrepreneur
who reinvented the world's
computing, music and mobile
phone industries and changed
the daily habits of millions
around the globe, died on
Wednesday at the age of 56.
His death after a years-long
battle with pancreatic cancer
sparked an immediate
outpouring of tributes as world
leaders, business rivals and
fans alike lamented the
tragedy of his premature
passing and celebrated his
monumental achievements.
"The world has lost a visionary.
And there may be no greater
tribute to Steve's success than
the fact that much of the world
learned of his passing on a
device he invented," U.S.
 
'Remembering that you are going to die is the best way I know to avoid the trap of thinking you have something to lose'


Steve Jobs, 2005




'Death is very likely the single best invention of life. It is life's change agent. It clears out the old to make way for the new'

Steve Jobs, 2005



R.I.P Steve Jobs
 
"Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara. Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako kama ipasavyo kicho chako? Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima. " (Zaburi 90:10-12).
 
Back
Top Bottom