umemuelewa mtoa mada lakini ?Google map simple tu yaan si umeona hapo chini speed inasomaView attachment 1504449
Kuonyesha speed gari inavyotembea nipo ndani ya gari muda huu ngoja niscreen record uone,sema iyo ni picha ndo maana uoni speed ikiongezekaumemuelewa mtoa mada lakini ?
hujamwelewa mtoa mda, soma tena andiko lakeKuonyesha speed gari inavyotembea nipo ndani ya gari muda huu ngoja niscreen record uone,sema iyo ni picha ndo maana uoni speed ikiongezeka
Google map inaweza kukupa speed kamili unayotumia ila lazima uwe kwenye gari na u-launch google map.
Nimeitumia mara nyingi nikiwa kwenye passenger seat nawasha google map halafu naangalia inavyocalculate na nikiangalia dashboard iko sawa sawa. Hata ukislow inasolow, ukispeed inapanda kama unavyotembea.
Google map simple tu yaan si umeona hapo chini speed inasomaView attachment 1504449
hujamwelewa mtoa mda, soma tena andiko lake
Hio kitu hakuna kwenye simu mkuu mana ili ujue speed ya moving object lazima simu itoe kitu kama mwanga then iuchukue back as reflection ndio ifanye calculation ya vitu kama speed hio Effect inaitwa Doppler na iko Archived na Gun Radar kwa kiswahili torch za barabarani ila kwa simu ukitaka kujua speed ya kitu labda uwe ndani ya icho kitu yani simu imove pamoja na hio object hapo kuna Online apps kama google map zinafanya io kazi au offline kama speedometer ambayo kwa inshu ya offline lazima mtandao wa simu uwe unashika yani Network connectivity ila kwa google map ita taka data iwe on na coverage ya internet iwepo na uwashe location
Kuonyesha speed gari inavyotembea nipo ndani ya gari muda huu ngoja niscreen record uone,sema iyo ni picha ndo maana uoni speed ikiongezeka
Hakuna. Unahitaji radar gun / tochi.
Labda anataka auze screenshot za hizo spidi kwa matrafiki.Na kwanini unataka ujue speed za magari mengine mkuu