App ya ku track messages za namba nyingine

App ya ku track messages za namba nyingine

Zipo nyingi ambazo zinatoa huduma iyo bure ila inahitajika ufanye instalation kwenye sim yake na inaoption ya kuitoa aps iyo isionekane kwenye apps screen na kuilock asiweze ku unstall ila inafanyakazi endapo tu atakuwa online sim yake itatuma data zote zilizopo kwenye sim yake kama vile picha, call log ambazo zipo recorded, sms , contact ambazo zipo kwenye sim yake, installed apps mwenye sim yake, na pia kama sim yake uyo mtu unayemtruck kaweka gps on unauwezo wa kujua yupo wap na kama anamove utajua anakwenda wap kwasababu inaoption ya live data . je unahitaji link ni kwa watumiaji wa android tu . USITUMIE APPS IYO KWA UVUNJIFU WA SHERIA.
Sasa mbona hujaitaja jina
 
Zipo nyingi ambazo zinatoa huduma iyo bure ila inahitajika ufanye instalation kwenye sim yake na inaoption ya kuitoa aps iyo isionekane kwenye apps screen na kuilock asiweze ku unstall ila inafanyakazi endapo tu atakuwa online sim yake itatuma data zote zilizopo kwenye sim yake kama vile picha, call log ambazo zipo recorded, sms , contact ambazo zipo kwenye sim yake, installed apps mwenye sim yake, na pia kama sim yake uyo mtu unayemtruck kaweka gps on unauwezo wa kujua yupo wap na kama anamove utajua anakwenda wap kwasababu inaoption ya live data . je unahitaji link ni kwa watumiaji wa android tu . USITUMIE APPS IYO KWA UVUNJIFU WA SHERIA.
Hata kama sijaroot simu??
 
Whatsap web hauinstall ila unachotakiwa uweze kupata sim ya mtu unaye taka kuangalia chat zate . then unaingia kwenye setting ya whatsap yake utakuta whatsap web ukifungua iyo menu itaanza kuscan . fungua browser ya pc yako fungua link ya whatsap web nilishaituma apo juu ikifunguka itaonyesha barcode reader chukua ile sim yake elekezea kwenye iyo barcode reader kama unapiga picha ikiwa bado inaendelea kuscan utaona browser ikifungua whatsap na chat zote ambazo zipo kwenye sim
Je ile App ya MStz vp mkuu ipo vzr
 
Zipo nyingi ambazo zinatoa huduma iyo bure ila inahitajika ufanye instalation kwenye sim yake na inaoption ya kuitoa aps iyo isionekane kwenye apps screen na kuilock asiweze ku unstall ila inafanyakazi endapo tu atakuwa online sim yake itatuma data zote zilizopo kwenye sim yake kama vile picha, call log ambazo zipo recorded, sms , contact ambazo zipo kwenye sim yake, installed apps mwenye sim yake, na pia kama sim yake uyo mtu unayemtruck kaweka gps on unauwezo wa kujua yupo wap na kama anamove utajua anakwenda wap kwasababu inaoption ya live data . je unahitaji link ni kwa watumiaji wa android tu . USITUMIE APPS IYO KWA UVUNJIFU WA SHERIA.
Tusaidie bro hyo apps
 
Ukitaka kuiunstall unafanyeje?? Nimeidownload alaf app imekuwa hidden siion tena
 
Back
Top Bottom