Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
Haya mambo yasikieni tu kwa watu wengine na ombeni Mungu yasije kuwakuta. Ni sheeeeda
umeambiwa ni mke ndo anafatiliwa.? kama ni adui?? fikiria ata mara tatu buanaKamuulize mkeo, unataka kumlinda kwani ulimuumba?
Kama Una wiv sana katoe order la robot lako!
[emoji22] [emoji22] [emoji25]Hii kitu niliwahi kutumia kipindi cha nyuma. Dah ni kujitafutia presha bure na kujipunguzia siku za kuishi, sitosahau siku niliponasa naongezi yao, demu wangu akishukr kwa kuliwa 0712. Nilipungua kilo 13 ndani ya siku saba
Whatsap web hauinstall ila unachotakiwa uweze kupata sim ya mtu unaye taka kuangalia chat zate . then unaingia kwenye setting ya whatsap yake utakuta whatsap web ukifungua iyo menu itaanza kuscan . fungua browser ya pc yako fungua link ya whatsap web nilishaituma apo juu ikifunguka itaonyesha barcode reader chukua ile sim yake elekezea kwenye iyo barcode reader kama unapiga picha ikiwa bado inaendelea kuscan utaona browser ikifungua whatsap na chat zote ambazo zipo kwenye simTupe ufafanuzi kidogo kiongoz hapo sim inayotumika kuistore ni mmoja au ni zote mbili?
Shkuran kwa ufafanuzi kiongozii..Taifa tunajivunia kuwa na watu makini kama nyinyiWhatsap web hauinstall ila unachotakiwa uweze kupata sim ya mtu unaye taka kuangalia chat zate . then unaingia kwenye setting ya whatsap yake utakuta whatsap web ukifungua iyo menu itaanza kuscan . fungua browser ya pc yako fungua link ya whatsap web nilishaituma apo juu ikifunguka itaonyesha barcode reader chukua ile sim yake elekezea kwenye iyo barcode reader kama unapiga picha ikiwa bado inaendelea kuscan utaona browser ikifungua whatsap na chat zote ambazo zipo kwenye sim
hapo kwenye red mkuuWhatsap web hauinstall ila unachotakiwa uweze kupata sim ya mtu unaye taka kuangalia chat zate . then unaingia kwenye setting ya whatsap yake utakuta whatsap web ukifungua iyo menu itaanza kuscan . fungua browser ya pc yako fungua link ya whatsap web nilishaituma apo juu ikifunguka itaonyesha barcode reader chukua ile sim yake elekezea kwenye iyo barcode reader kama unapiga picha ikiwa bado inaendelea kuscan utaona browser ikifungua whatsap na chat zote ambazo zipo kwenye sim
Text za nyuma haileti. Unaanza kuona za muda ambao umeconnecthapo kwenye red mkuu
Browser itajifungua yenyewe bila ku click?
Na akiwa online nitafungua browser nakuona vyote anavyochat akiwa online au hata text zake za nyuma alizochat?
Lejea maelezo ya nyuma kabla hujaanza kufanya chochote unatakiwa uwe na hivi vituhapo kwenye red mkuu
Browser itajifungua yenyewe bila ku click?
Na akiwa online nitafungua browser nakuona vyote anavyochat akiwa online au hata text zake za nyuma alizochat?
Hivi hakuna labda program ambayo labda ni ya kulipia bila kuwa na simu ya mtu unayemtrack??Lejea maelezo ya nyuma kabla hujaanza kufanya chochote unatakiwa uwe na hivi vitu
1. Sim ya mtu unayemtrack
2. Pc au sim iliyokuwa installed latest google chrom au mozira usisahau kuselect desktop mode kama utatumia sim
3. Link ya whatsap web au aps yake
Ukishakuwa navyo ivo fuata maelekezo
1. Fungua link ya whatsap web utakuta barcode leader
2. Ingia kwenye setting ya whatsap ya mtu unayemtrack then ingia whatsap web
3. Scan barcode leader ya kwenye iyo whatsap web page kwa kutumia sim ya mtu unayemtrack
4. Ni kitendo cha sekunde kama mtandao upo vizur
5. Ukishascan angalia kinachotokea utakuwa umemaliza procedure
Ila akiwa online na ww unaweza kuwa online kupitia whatsap web na utaona txt zote za zaman alizokuwa anachati kama hajafuta
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwa sheri ya mtandao ilioko bongo atakufunga tena mchana kweupeeee
poa kamandaWe Ukiona anaku Cheat futilia safar zake ukishafumania Piga Chini No Time to Please anybody