Miyeyusho
Member
- Aug 14, 2020
- 24
- 36
Habari wakuu?
Mambo vp?
Ebwana leo nimeona niwashirikishe jambo fulani na nyinyi nipate mawazo yenu na nijue pia taratibu za kisheria zimekaaje katika hili na naweza kuanzia wapi?
Nimefikiria kuanzisha App ya kusaidia watu kukutana mtandaoni baina ya jinsia mbili tofauti, wenye shida ya mchumba, kununua malaya au kijana wakumshughulikia for one night, kuangalia mtu yoyote ambaye yupo karibu nawe na anahitaji kampani ya kufanya mapenzi au kuwa pamoja tu kwa siku hiyo.
App hiyo nataka iwe katika mfumo wa membership, ambao watu watakua real kuanzia jinsia zao na wanachokihitaji, sio wanamme anatumia identification ya mwanamke hili ajipatie pesa kwa njia ya udanganyifu hapana. Bali ata kama mtu atatumia jina ambalo si la kwake kwa mfano labda A.K.A lakini tutajidhihirisha jinsia na dhamira yake ya kuwa member, kwahyo profile yake itaonyesha jinsia halisi na anachokihitaji. Lengo la App hilo ni kurahisisha upatikanaji wa huduma za kimapenzi na mahusiano na kuondoa upweke tunaoupata aswa tukiwa ugenini. Naamini itasaidia ata kuzuia kulandalanda kwa makahaba mitaani bali watafanya kidigitali.
Karibu kwa ushauri.
Asante sana.
Mambo vp?
Ebwana leo nimeona niwashirikishe jambo fulani na nyinyi nipate mawazo yenu na nijue pia taratibu za kisheria zimekaaje katika hili na naweza kuanzia wapi?
Nimefikiria kuanzisha App ya kusaidia watu kukutana mtandaoni baina ya jinsia mbili tofauti, wenye shida ya mchumba, kununua malaya au kijana wakumshughulikia for one night, kuangalia mtu yoyote ambaye yupo karibu nawe na anahitaji kampani ya kufanya mapenzi au kuwa pamoja tu kwa siku hiyo.
App hiyo nataka iwe katika mfumo wa membership, ambao watu watakua real kuanzia jinsia zao na wanachokihitaji, sio wanamme anatumia identification ya mwanamke hili ajipatie pesa kwa njia ya udanganyifu hapana. Bali ata kama mtu atatumia jina ambalo si la kwake kwa mfano labda A.K.A lakini tutajidhihirisha jinsia na dhamira yake ya kuwa member, kwahyo profile yake itaonyesha jinsia halisi na anachokihitaji. Lengo la App hilo ni kurahisisha upatikanaji wa huduma za kimapenzi na mahusiano na kuondoa upweke tunaoupata aswa tukiwa ugenini. Naamini itasaidia ata kuzuia kulandalanda kwa makahaba mitaani bali watafanya kidigitali.
Karibu kwa ushauri.
Asante sana.