App ya jf ktk iphone4

Almeda

Member
Jan 24, 2013
53
10
Hbr wana jf, naomba kujuzwa jinsi ya kuitumia maana kila ninapoifungua nashindwa kulog in maana inafunguka moja Kwa moja ktk forum na ndiyo maana napata SMS kutoka Kwa admistrater kuniuliza ww ni nano sb najua siku sign in
 
Hii app inamatatizo sa hv.. Nadhani timu ya JF inafanya kazi kui-update
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom