App ya Google chrome itaruhusu watumiaji kudanganya location

App ya Google chrome itaruhusu watumiaji kudanganya location

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,293
Reaction score
2,619
1_20260505_205812_0000.png


Program ya Google itaweza kuongeza Usalama zaidi kwa watumiaji wa simu za Android kuhusu location uliyopo.

Google chrome itaweka option mpya upande wa location kuruhusu Mtumiaji kuweza kuchagua kudanganya au kusema kweli kuhusu eneo ulilopo kupitia Google chrome.

2_20260505_205812_0001.png


🚨Kutakua na option mbili kupitia Google chrome;
âś… Precise Location hii inakuonyesha eneo kabisa Halisi ulilopo kupitia app hiyo na kuweza kukusanya data za eneo Hilo.

âś… Approximate Location hii inakuonyesha Eneo ulilopo karibu nalo hivyo haitaweza kukuonyesha eneo lako Halisi kabisa uliopo ila litakuonyesha eneo la karibu yako ili kulinda Usalama wako.
 
Back
Top Bottom