Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Kama unatumia android basi Leo nakuletea makala nzuri kwa Ajili yako, ndugu ,jamaa na rafiki ili kuwa Salama zaidi.
View attachment 2802435
Kampuni ya Google wana feature Kwenye simu za android ambayo itakusaidia kutoa taarifa ya dharura pale unapopatwq na shida au unapopata Ajali Kwenye gari.
Kama unatumia pixel Kuna kitu Kinaitwa Pixel car detection inaokoa maisha Yako ikitokea umepata ajali Kwenye gari kwa kuweza kutoa taarifa ya dharura kwa watu wengine au polisi.
View attachment 2802436
Mara ya kwanza iliachiwa mwaka 2014 ambapo ilikua inafanya kazi Kwenye nchi ya marekani pekee.
lakini sasa wameongeza nchi kadhaa Kama vile India, Australia, Belgium, Portugal na Switzerland nk kuanzia simu ya Google pixel 4a, 4xl, 6a,pixel 7 series pamoja na 8 series.
Lugha zinazo support huo mfumo ni English,Danish, Dutch , Italian , japanese nk.
Ikitokea ajali imetokea yenyewe inatoa mlio wa vibrate au sauti kukuliza kama uko salama wakiona kimya ndani ya sekunde 35 basi itatoa taarifa kitengo Cha dharura.
Kupitia sensor ya motion, locations na Sauti itaweza kutoa taarifa ya eneo uliopo na kuweza kupatq msaada ila hii feature haitaweza kufanya kazi ikiwa umeweka battery save au Airplane mode.
View attachment 2802437
View attachment 2802438
Unafanyaje
Usisahau kutembelea channel zetu za Whatsapp na telegram kujifunza mengi zaidi nasi
t.me/bongoTechs255
Whatsapp
whatsapp.com/channel/0029Va…
View attachment 2802435
Kampuni ya Google wana feature Kwenye simu za android ambayo itakusaidia kutoa taarifa ya dharura pale unapopatwq na shida au unapopata Ajali Kwenye gari.
Kama unatumia pixel Kuna kitu Kinaitwa Pixel car detection inaokoa maisha Yako ikitokea umepata ajali Kwenye gari kwa kuweza kutoa taarifa ya dharura kwa watu wengine au polisi.
View attachment 2802436
Mara ya kwanza iliachiwa mwaka 2014 ambapo ilikua inafanya kazi Kwenye nchi ya marekani pekee.
lakini sasa wameongeza nchi kadhaa Kama vile India, Australia, Belgium, Portugal na Switzerland nk kuanzia simu ya Google pixel 4a, 4xl, 6a,pixel 7 series pamoja na 8 series.
Lugha zinazo support huo mfumo ni English,Danish, Dutch , Italian , japanese nk.
Ikitokea ajali imetokea yenyewe inatoa mlio wa vibrate au sauti kukuliza kama uko salama wakiona kimya ndani ya sekunde 35 basi itatoa taarifa kitengo Cha dharura.
Kupitia sensor ya motion, locations na Sauti itaweza kutoa taarifa ya eneo uliopo na kuweza kupatq msaada ila hii feature haitaweza kufanya kazi ikiwa umeweka battery save au Airplane mode.
View attachment 2802437
View attachment 2802438
Unafanyaje
- tafuta app ya personal safety Kwenye simu Yako
- fungua sehemu ya feature option
- tafuta neno Car crash Detection hakikisha ume allow permission zote.
Usisahau kutembelea channel zetu za Whatsapp na telegram kujifunza mengi zaidi nasi
t.me/bongoTechs255
whatsapp.com/channel/0029Va…