App mpya ya azamtv

App mpya ya azamtv

jini makata

Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
66
Reaction score
35
Leo ni siku ambayo azamtv wamezindua app yao ambayo pamoja na taarifa mbalimbali pia utapata fursa yakuona tvonline 7 zikiwemo azam one,azam two,azam hd,zbc2,sinema zetu na nyengine kwangu mie nimeona iko poa sana nakutupa fursa hata tukiwa nje ya majumba yetu kuweza kutazama
Asante azam tv
00ca5011e5d5164f464b1a8be1378441.jpg
38ea7660bbbcedcd41483fc81cf1f7ec.jpg

c6b36c0271041edf792eea9fffbee89e.jpg
 
Leo ni siku ambayo azamtv wamezindua app yao ambayo pamoja na taarifa mbalimbali pia utapata fursa yakuona tvonline 7 zikiwemo azam one,azam two,azam dh,zbc2,sinema zetu na nyengine kwangu mie nimeona iko poa sana nakutupa fursa hata tukiwa nje ya majumba yetu kuweza kutazama
Asante azam tv
asante kwa taarifa lakini hapo jua bakhresa amepata fursa maana ni wangapi mtakaoilipia hiyo app, itv walianza hivo lakini sasa hivi wanajipatia kipato kupitia app yao hii tena wanaipromot kila mara. hapo kwenye azam dh rekebisha ni azam hd
 
asante kwa taarifa lakini hapo jua bakhresa amepata fursa maana ni wangapi mtakaoilipia hiyo app, itv walianza hivo lakini sasa hivi wanajipatia kipato kupitia app yao hii tena wanaipromot kila mara. hapo kwenye azam dh rekebisha ni azam hd
Ok
 
Leo ni siku ambayo azamtv wamezindua app yao ambayo pamoja na taarifa mbalimbali pia utapata fursa yakuona tvonline 7 zikiwemo azam one,azam two,azam hd,zbc2,sinema zetu na nyengine kwangu mie nimeona iko poa sana nakutupa fursa hata tukiwa nje ya majumba yetu kuweza kutazama
Asante azam tv
Itupie hapa mkuu, au tunaipataje
 
Hii habari imeletwa na jini hata siiamini hahaha [HASHTAG]#utani[/HASHTAG]


Poa mkuu, ngoja tukaicheki halafu vipi unastream kama ile ya ITV au unalipia kifurushi??
 
Hii habari imeletwa na jini hata siiamini hahaha [HASHTAG]#utani[/HASHTAG]


Poa mkuu, ngoja tukaicheki halafu vipi unastream kama ile ya ITV au unalipia kifurushi??
Kwasasa free ila utailipia sh 9000 kwa mwezi
 
App ya AzamTV iko vizuri sana,wametisha ktk ubunifu halafu iko smooth tofauti na ile ya ITV ambayo ni nzito.
Hongera sana AzamTV hayo ndo mambo tunayotaka.
 
Back
Top Bottom