Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 377
- 262
Class mate wangu huyu jamaa aisee samwel chacha james, rafiki yangu kabisa yaan hapo chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
KWAMBA UNAMSHAURI MAREHEMU AU?Ukitaka kuogelea kwnz kwenye mito waulize wenyeji kuna sehem nyengine sizakuogelea
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀 pole sana mkuu kuna watu waliishalaaniwaDah, jamaa kaniharibia kwaresma yangu, Shetani kabisa!
Kwa kutumia neno "swekwa" ni wazi una ujuzi fulani kuhusu mpangilio wa mizigo melini. hahahaaaKuogelea mtoni ni hatari.Mto huwa na sehemu zile ambazo maji huwa yanazunguka Kama kiduara duara ulifika hapo unasimamishwa halafu unavutwa chini maji unaenda swekwa kwenye shimo ndani kabisa chini ambako huwezi ogelea hata ufanyaje. Utafia huko ndani maiti itaelea baadaye. Kuogelea mto watu huogelea sehemu chache Sana za mto.
Huna adabu !Sio uzembe sehemu hiyo ni hatari kuogelea hasa kwa wageniView attachment 1045233
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana!Class mate wangu huyu jamaa aisee samwel chacha james, rafiki yangu kabisa yaan hapo chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Chunusi ndio manic wacha uzwazwa weweeKuna sehemu huwa na chunusi huwa zinaua Sana. Kuuliza Kwanza mihimu. Usipouliza ni uzembe ukajitosa tu
Hatari Sana Jamaa Katupia XXXHivi wewe Zinakutosha kweli?