Apllication for diploma holders to degree

Apllication for diploma holders to degree

Ridhy busy

Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
18
Reaction score
1
Msaada jmn waungwana nilikua najaza form ya chuo TCU ss baada ya kulipia mpesa nikaingiza zile code zao za mpesa ss inakataa inasema ishatumika na bdo cjalogin in
 
Nishachanganyikiwa hapa aseee na email hawajatuma nimepiga hawapokei email hawajibu nimeongea vodacom mpesa wakasema niende nacte wakati nauri 120,000
 
Irudishe. Waambie umekosea hukutaka kutuma TCU,
 
Msaada jmn waungwana nilikua najaza form ya chuo TCU ss baada ya kulipia mpesa nikaingiza zile code zao za mpesa ss inakataa inasema ishatumika na bdo cjalogin in
Capture.PNG
 
Ss tufanyaje jmn coz wanasema wametuma kwny email yko then kwny email hawajatuma
 
Msaada jmn waungwana nilikua najaza form ya chuo TCU ss baada ya kulipia mpesa nikaingiza zile code zao za mpesa ss inakataa inasema ishatumika na bdo cjalogin in
Mkuu jarbu mara kwa mara mara nyung inakuwa hivo ila mambo yakikaa sawa utatumiwa ila pia ikumbukwe kuwa mida kama hii kuna wengi wanapoteza hela sana mkuu tumwombe mungu usiwe mmoja wao!
 
Wakuu me nauliza kwa wale tulio fanya application mwezi wa tano kupitia nacte kabla mabadiliko hayafanywa, sasa nauliza kama tutafanywa upya?
 
kuwa na subira brother kuna jamaa yangu hapa tumeangaika hapa tatizo kama lako masaa matatu yamepita now ndo imekubari....... USILIPE PESA TENA WEWE USIKAE MBALI NA EMAIL YAKO WANATUMA SOON
 
Naomba Msaada Ambao Si Wa Kudharaulika! Mimi ingawa Ni Diploma Holders (DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL TECHNICIAN) Lakini Pia Nimemaliza A-Level PCB na nimepata Principal Ya Physics & Biology.

Lakini Nilipoingalia GuideBook Nikakutana Na Maneno Haya Ambayo Yamenipa Matumaini:-

"(Diploma in Pharmaceutical Sciences or GPA of 3. 5 With an average of . Principal passes at any grade in Physics/ Mathematics, Chemistry or Biology at “A” level will be an added Advantage)"

Sasa Kwakweli Baada Ya Kuona Kuwa Ukiwa Na Pricipal Ya Aina Yoyote Hile Kwenye (M/PCB) unapewa Kipaombele! Nimevutiwa Na Kujaza Matokeo Ya Advance Huko TCU.

Swali Langu Ninalowauliza Kutaka Kusaidiwa Ni Jee Katika Hiyo System Ya TCU ipo Sehemu Ya Kujaza Matokeo Ya Advance??
 
Naomba Msaada Ambao Si Wa Kudharaulika! Mimi ingawa Ni Diploma Holders (DIPLOMA IN PHARMACEUTICAL TECHNICIAN) Lakini Pia Nimemaliza A-Level PCB na nimepata Principal Ya Physics & Biology.

Lakini Nilipoingalia GuideBook Nikakutana Na Maneno Haya Ambayo Yamenipa Matumaini:-

"(Diploma in Pharmaceutical Sciences or GPA of 3. 5 With an average of . Principal passes at any grade in Physics/ Mathematics, Chemistry or Biology at “A” level will be an added Advantage)"

Sasa Kwakweli Baada Ya Kuona Kuwa Ukiwa Na Pricipal Ya Aina Yoyote Hile Kwenye (M/PCB) unapewa Kipaombele! Nimevutiwa Na Kujaza Matokeo Ya Advance Huko TCU.

Swali Langu Ninalowauliza Kutaka Kusaidiwa Ni Jee Katika Hiyo System Ya TCU ipo Sehemu Ya Kujaza Matokeo Ya Advance??
 
Back
Top Bottom