Binti ni mdogo pengine hakupata mafundisho mazuri kwao na huenda hata hakujua kama angemuudhi bwana alichojua yeye ni kumfurahisha mume hivyo mume angemsamehe na kumpa mafunzo mazuri.Hata kama kachorwa na mwanamke mwenzake talaka ilikuwa halali yake.
Ishu sii hina kinachoumiza hapo aliekuchora ni ni jinsia gani kama ni mwanaume hapo ndo shida kidogoHabari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668
Mama wew mwenywew hupnd tattooKi vipi?
Mambo yasiwe mengiNdio mi sipendi mwanaume mwenye tatoo,
Na hinna mimi binafsi siipendelei sana japo wanaochorwa huona wamependeza.
Angemwambia afuteInawezekana hiyo ikawa sababu
"" Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi. "'Habari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668
Mimi sina tattoo, nikae karibu na wewe?Habari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668