Apewa talaka baada ya ndoa.

Apewa talaka baada ya ndoa.

hivi unaanzaje kumanua ili uchorwe K........hiyo talaka ni haki yake......hata kama ulichorwa na mwanamke mwenzio......upuuzi tuu
Binaadamu tunamapungufu hivyo ye angemsamehe na kumuonya asichore tena mi nadhani ingekua busara zaidi
 
Binaadamu tunamapungufu hivyo ye angemsamehe na kumuonya asichore tena mi nadhani ingekua busara zaidi
hilo ndio tatizo la kuoana kwa mihemko.....hawajafahamiana kisawa sawa.....ingelikuwa hivyo hata kujichora asingedhubutu......wanawake mmeumbiwa aibu.....sasa iweje ukae manuu uchorwee....mwenye haki pekee ya kuangalia uvinza ni mmewe...iweje na popo wamulike....iwe fundish.o.
 
weka picha ya k tuone hizo mamichoro otherwise ni UZUSHI.
 
hilo ndio tatizo la kuoana kwa mihemko.....hawajafahamiana kisawa sawa.....ingelikuwa hivyo hata kujichora asingedhubutu......wanawake mmeumbiwa aibu.....sasa iweje ukae manuu uchorwee....mwenye haki pekee ya kuangalia uvinza ni mmewe...iweje na popo wamulike....iwe fundish.o.
Na kweli iwe fundisho maana binti wa watu kapata mtihani ambao hakuutegemea ilikua furaha kumbe ikageuka machungu ya mwaka.
 
Habari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668
Maryam Kondo ndio huyo aliyechorwa hinna, au ndie aliyeachwa? Ila hata mimi nikichorewa hinna hadi kwenye K aaah naacha mtu
Hayo mambo ya kuchorewa hinna hadi kwenye K yanafanywa na michepuko bana
 
Maryam Kondo ndio huyo aliyechorwa hinna, au ndie aliyeachwa? Ila hata mimi nikichorewa hinna hadi kwenye K aaah naacha mtu
Hayo mambo ya kuchorewa hinna hadi kwenye K yanafanywa na michepuko bana
Hapana aliechorwa na alieachwa na hilo jina ni tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom