Namimi nipe tusiku tuwilMwezi wa 12 nina mwezi mzma wa kukaa mwanza dada kwako naweka week 1 tutakuwa pamoja
Asante sana, upo radhi kuunganisha undugu kwa hakika..??? Isiwe kama first time...Sana tu wala usihofu
Namimi nipe tusiku tuwil
Noma sana!Sijakususa, mbona nakupa sana likes za nyingi. fanya uje Mwanza.
hilo ndio tatizo la kuoana kwa mihemko.....hawajafahamiana kisawa sawa.....ingelikuwa hivyo hata kujichora asingedhubutu......wanawake mmeumbiwa aibu.....sasa iweje ukae manuu uchorwee....mwenye haki pekee ya kuangalia uvinza ni mmewe...iweje na popo wamulike....iwe fundish.o.Binaadamu tunamapungufu hivyo ye angemsamehe na kumuonya asichore tena mi nadhani ingekua busara zaidi
Usiogope kama mungu ameandika itakua tu
Na kweli iwe fundisho maana binti wa watu kapata mtihani ambao hakuutegemea ilikua furaha kumbe ikageuka machungu ya mwaka.hilo ndio tatizo la kuoana kwa mihemko.....hawajafahamiana kisawa sawa.....ingelikuwa hivyo hata kujichora asingedhubutu......wanawake mmeumbiwa aibu.....sasa iweje ukae manuu uchorwee....mwenye haki pekee ya kuangalia uvinza ni mmewe...iweje na popo wamulike....iwe fundish.o.
Na kweli iwe fundisho maana binti wa watu kapata mtihani ambao hakuutegemea ilikua furaha kumbe ikageuka machungu ya mwaka.
Maryam Kondo ndio huyo aliyechorwa hinna, au ndie aliyeachwa? Ila hata mimi nikichorewa hinna hadi kwenye K aaah naacha mtuHabari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668


















Njoo pm kwa uhakika zaidi![]()
Hapana aliechorwa na alieachwa na hilo jina ni tofauti kabisa.Maryam Kondo ndio huyo aliyechorwa hinna, au ndie aliyeachwa? Ila hata mimi nikichorewa hinna hadi kwenye K aaah naacha mtu
Hayo mambo ya kuchorewa hinna hadi kwenye K yanafanywa na michepuko bana![]()
Hata kama kachorwa na mwanamke mwenzake talaka ilikuwa halali yake.lakini alie mchora ni mwanamke mwenzake mkuu.