Apewa talaka baada ya ndoa.

Apewa talaka baada ya ndoa.

Angemsamehe tu kuliko kumfanyia hivyo.
Tunatofautiana mioyo mkuu, hatujui jamaa alifikiria nini.
Inawezekana alishaambiwa huyo mchora hinna hachoragi mwanamke bila kumla uroda hasa sehemu hizo nyeti
 
Kimara k, kinondoni k, kibiti k, kimanzichana k, kenya k, kitangari k, hata huyo demu nae ni K tu.
 
aisee sasa kwanini achore mpaka huko ngoja niishie hapo ila kwa upande wangu sipendezewi na mwanamke mwenye tattoos tuwe pamoja nadhani hata hina
 
Binadamu hatujui tunachokitaka kabisa, laiti tungeumbwa tukiwa tumechorwa chorwa mahina na matatoo hivyo tungehangaika sana kuyafuta mwilini.

Acheni kumkosoa Mungu kama vile alitukosea kutuumba bila ya mahina wala tatoo kama vipi jiumbieni miili yenu
 
Au ni kwapa vile..... 🤣🤣🤣🤣nisamee mpakwa ina
 
Back
Top Bottom