kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,964
Duuu!!!Fursa juu ya fursaHapana mpenzi... ni maswala ya mila na desturi. Hata sisi kule kwetu ukifiwa na mke unaambiwa uchague ndugu yake yoyote utakayempenda... bure kabisa bila mahari. Wana imani mtu hawezi kutesa watoto wa ndugu yake.
Baada ya kusema hayo napenda kukufahamisha kuwa usiku nimeota tumelala wote Washington... na nimeambiwa tusipoifanyia hii ndoto kazi.. mmoja wetu (hasa wewe) atakufa.
Ukiwa tayari unambie...