Hivyo vitu navijua vizuri, kama ilikua haina hitilafu but ikaachwa mda mrefu bila kutumika, ujue betri yake imekufa na nikwambie ups unapo connect kwenye umeme yenyewe kabla ya kuwasha taa yoyote cha kwanza ina sense/detect kama betri ipo na ni nzima? Ndipo inaruhusu umeme uanze mzunguko wake.
Kwahiyo anza na hilo Pima betri yawezekana zikawa ni totally discharged.