APC UPS

APC UPS

P chatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
375
Reaction score
283
Habarini za majukumu, naombeni msaada kwa yeyote mwenye ulewa kwenye hili tatizo. Nina UPS ya APC smart ups ambayo hata nikiiwasha haitaki kuwaka na hata nikisema niiconnect kwenye power bado haionyeshi ishara yoyote kwamba inapokea umeme. Tafadhali naomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa wa hivi vitu.
AHSANTENI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejaribu kuweka betri zingine na ikagoma?
 
-Tatizo lilianza ghafla au Lilianza vipi?
- Kabla ya kufikia hatua hiyo kuna msg yoyote ilikuwa I nakuletea kama warning?
- Je uliiacha mda mrefu bila kutumia na ulipokuja Kuwasha ndio Ukakutana na hali hiyo?
- Unapobonyeza power switch kuna beep yoyote inatokea?
- umeaangalia fuse Kama ipo sawa?
 
@P chatila
-Tatizo lilianza ghafla au Lilianza vipi?
- Kabla ya kufikia hatua hiyo kuna msg yoyote ilikuwa I nakuletea kama warning?
- Je uliiacha mda mrefu bila kutumia na ulipokuja Kuwasha ndio Ukakutana na hali hiyo?
- Unapobonyeza power switch kuna beep yoyote inatokea?
- umeaangalia fuse Kama ipo sawa?
Jibu kwanza haya maswali.
 
1.sikuwa naitumia nilikuta somewhere imewekwa tu.
2.sijui kama iliwahikuwaletea meseji yyt maana sio watu wenye uelewa wa mambo ya umeme/vifaa
3.ndio iliachwa kwa mda mrefu sana
4.hakuna beep yyte ninapoiwasha
6.nimefaribu kuifungua niangalie fuse ila nimeshindwa kuitambua.
NB:niliifungua ili niangalie km kwenye motherboard km kutakua na short yyt lakini hakuna short yyt iliyoleta uharibifu unaoonekana.
@P chatila Jibu kwanza haya maswali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.sikuwa naitumia nilikuta somewhere imewekwa tu.
2.sijui kama iliwahikuwaletea meseji yyt maana sio watu wenye uelewa wa mambo ya umeme/vifaa
3.ndio iliachwa kwa mda mrefu sana
4.hakuna beep yyte ninapoiwasha
6.nimefaribu kuifungua niangalie fuse ila nimeshindwa kuitambua.
NB:niliifungua ili niangalie km kwenye motherboard km kutakua na short yyt lakini hakuna short yyt iliyoleta uharibifu unaoonekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo Taa ya Kijani haiwaki?? Na vipi ukiichomeka kwenye umeme unasikia sauti za Relay Switch zikifunga na kufungua??
 
...
kamjamaa kamepotelea wapi?
Na mie tatizo kama hilo.
...
 
Ups yako ni ya ukubwa gani in Kva?
Umejaribu manually by pass?

Ikiwa hata ukiiweka kwenye by pass bado tatizo lipo pale pale inabidi utafute ups technician kwaajili ya uangalizi zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuma picha ya ups yako ikionyesha mbele palivyo na nyuma


Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ya kwanza ni nyuma, ya pili ni mbele
IMG_20190301_230317.jpeg
IMG_20190301_230257.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
...
ups hii ghali kuiacha ikalambwa na vumbi kiasi hicho.
...
 
...
Donnie Charlie
Nini ufumbuzi wa ups iliyo kaa muda mrefu bila kutumika ikawa haiwaki kabisa ikiunga kwa umeme?
...
Hivyo vitu navijua vizuri, kama ilikua haina hitilafu but ikaachwa mda mrefu bila kutumika, ujue betri yake imekufa na nikwambie ups unapo connect kwenye umeme yenyewe kabla ya kuwasha taa yoyote cha kwanza ina sense/detect kama betri ipo na ni nzima? Ndipo inaruhusu umeme uanze mzunguko wake.

Kwahiyo anza na hilo Pima betri yawezekana zikawa ni totally discharged.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom