Aolewe tena?

Aolewe tena?

Sasa ujana akule na mume wake alaf uzee ndo anataka ampelekee nan!! Sababu yake hasa ya kutaka kuolewa inaweza ikawa ipi!? sioni hiyo haja nafkiri ni mtu ambaye ni tegemezi ndo maana anaona kama hana njia.
"Njoni wote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha" Yesu
 
Mwambie avumilie tu ndiyo ndoa hiyo.
Miaka yote hiyo alikuwa wapi mpaka akumbuke kuachana uzeeni?
Kweli nyani haoni kundule! Wewe si una miaka 35 na umeolewa wiki iliyopita? Kwani difference ya miaka chini ya 10 ni uzee? Naye ataolewa na shahawa zitakuwa bariiiidi
 
Role model wake ni wasatara nini?!
Ndoani miaka 22, anategemea atakapoenda atakuta mpya gani? Au maisha yake ni "can't live without you my dear dick? Anaweza kupata maziwa bila kufuga ng'ombe.....
Kwakua maisha ni yake akaolewe tu ila If I were me, ningetulia na watoto wangu hiyo ni furaha tosha, sitaki wakahangaishwe na baba wa kambo huko
Dada yangu huyu hapa sijui kashauri au katoa yake ya moyoni ila khabari za asubuhi dada.
 
Wazee heri?
Nina mwanamama anahitaji ushauri na liko nje ya uwezo wangu mie. Hivyo nimeona niwashilikishe hapa.

Kakaa kwenye ndoa miaka 22. Na kaolewa kwa nguvu si kwa kupenda; hivyo hajawahi kumfurahia mwenzie. Anadai kupigwa na kunyanyaswa toka wiki ya kwanza ameolewa, na alijaribu kuachana na mmewe lakini sababu ya watoto ikawa inashindikana.

Kwa sasa ndo mwenye kila kitu, mme ni kula, kulewa na kuuza vitu vya ndani. Sasa anadai anataka akaachane na mmewe kisheria na kutafuta mwanaume wa kuishi nae wanaependana.

Ni story ndefu nimefupisha ila hata ndugu na wazazi wake walitakaga kumtoa huko akagoma na sasa amekubali. Ila issue ana watoto 4, anawaweza ila sasa mme ndo wakiachana anaweza akachizi maana hajiwezi hata kwa chupi tu!

Huyu mwanamke anaweza kuolewa tena? Je anahitaji mwanaume wa umri gani?(yeye ana kama 42)
Yani huyo mama simuelewi alikuwa anapigwa toka from day one na bado akaenda zaa na watoto 4 oooh please.wewe kama ndoa yako ina tatizo hutazaa watoto wote tena ya manyanyaso ya kudundwa.kuna dada alikuwa ana watoto 4 anaishi nje aliachana na mme wake siku nyingi ila alipata mtu mwingine anayempenda wakaona kama miaka 3 iliyopita.sasa huyo wa ndugu yako ana mlevi hamna sababu ya kumuweka kuna watoto hapo nao wakikuwa watajionea sawa tu
 
Nimefanya counselling na kutoa ushauri ha ha ha
Hi evelyn...unajua kwa waafrica wana ile mentality ya kumwambia mtu avumilie which is not right kwa kweli.tena na ukiwa na watoto unashauriwa ubakie na huyo mwanamme.nimekaa nje ya tanzania miaka 18 kumbe mtu kama haupo happy una uwezo wa kujitegemea ila wakina mama wengine huogopa sababu hawana pa kwenda.mimi nina mtu nna mfahamu kamchoma mkewe kisu alikuwa amuuwe na bado wakaendelea pamoja ila baadaye mke alikuja hamua kumuacha mme wake aliona si wa kawaid.point yangu mnaona tuvumilie kisa watoto au
 
Hapo cha kwanza kuzingatia ni dini kama wenzangu walivyotangulia,,,hapa ndio mzizi ulipo,,la pili kama ana mchepuko wake unaomwambia utamuoa auangalie kwa makini sana,,,utakuja kumvunja moyo kuliko huyo mume halisi..Kama mume ni mchepukaji huyo mama atulie asali la sivyo hio nyumba siku zake zinahesabika.
 
Mimi natafuta mke tena awe na watoto tayari,nileteeni mimi nitampenda mpaka atachanganyikiwa.
 
Miaka 22 akivumjlia.....ana roho ya pekee aolewe tu akavumilie tena huko baadae ataolewa tena
 
Yani huyo mama simuelewi alikuwa anapigwa toka from day one na bado akaenda zaa na watoto 4 oooh please.wewe kama ndoa yako ina tatizo hutazaa watoto wote tena ya manyanyaso ya kudundwa.kuna dada alikuwa ana watoto 4 anaishi nje aliachana na mme wake siku nyingi ila alipata mtu mwingine anayempenda wakaona kama miaka 3 iliyopita.sasa huyo wa ndugu yako ana mlevi hamna sababu ya kumuweka kuna watoto hapo nao wakikuwa watajionea sawa tu

Yaani ukiona watoto wanavyomfanya utadhani si baba yao! Ila aise,kila mtu hatama ni kichaa mpeni heshima yake. Jamaa alizaa nje ya ndoa mwaka huo ameoa,si kaleta yule mtoto wake (ni wa kiume) ambaye anazidiwa mwaka 1 na mtoto wake wa ndoa halali! Ila ndo amefanya mama yake wa kambo akae hapo. Maana mtoto anamshika baba yake na kumtwanga makofi na mitama hadi raha. Maana mama kamlelea mtoto bila kujali kamzaa nje
 
Yaani ukiona watoto wanavyomfanya utadhani si baba yao! Ila aise,kila mtu hatama ni kichaa mpeni heshima yake. Jamaa alizaa nje ya ndoa mwaka huo ameoa,si kaleta yule mtoto wake (ni wa kiume) ambaye anazidiwa mwaka 1 na mtoto wake wa ndoa halali! Ila ndo amefanya mama yake wa kambo akae hapo. Maana mtoto anamshika baba yake na kumtwanga makofi na mitama hadi raha. Maana mama kamlelea mtoto bila kujali kamzaa nje
Maskini huyo mama ni wamama wachache wakafanya hivyo.
 
Role model wake ni wasatara nini?!
Ndoani miaka 22, anategemea atakapoenda atakuta mpya gani? Au maisha yake ni "can't live without you my dear dick? Anaweza kupata maziwa bila kufuga ng'ombe.....
Kwakua maisha ni yake akaolewe tu ila If I were me, ningetulia na watoto wangu hiyo ni furaha tosha, sitaki wakahangaishwe na baba wa kambo huko
Aisee bonge la point.
 
Ki ukweli ni ngumu hicho ni kifupi sana ukihadithiwa visa vya jama, na ni wa mtaa mmoja, kila sketi inayopita anayo, watoto wadogo nyumbani kwake mzigo anapiga,tungi usiseme; issue kubwa alimuoa wakati wa vita; na kama ofisa wa kipindi hicho ilikuwa ukikataa familia nzima inazima. Mwanamke kagoma kutoa mbunye baada ya kuona jama kila tundu anaingiza, mali anauza,ila aise,wanawake mna moyo, wanaume wengine hatustahili msamaha! ukiona alivyo na mabaka juu ya vipigo, manundu kila kona mwenyewe utashauli aache! Ndugu wa mme wameomba waachane vikao vimeambulia zero,ila sasa mashemeji mzigo wanauvizia,na ni waume za watu; nae anasema hawezi kuishi bila kugegedana na hataki kugegedana na mme wa mtu anataka wake tu
Labda kama atataka mgegedaji awe SERENGETI maana kwa umri huo Nyamaume wote tumeoa!
 
Wazee heri?
Nina mwanamama anahitaji ushauri na liko nje ya uwezo wangu mie. Hivyo nimeona niwashilikishe hapa.

Kakaa kwenye ndoa miaka 22. Na kaolewa kwa nguvu si kwa kupenda; hivyo hajawahi kumfurahia mwenzie. Anadai kupigwa na kunyanyaswa toka wiki ya kwanza ameolewa, na alijaribu kuachana na mmewe lakini sababu ya watoto ikawa inashindikana.

Kwa sasa ndo mwenye kila kitu, mme ni kula, kulewa na kuuza vitu vya ndani. Sasa anadai anataka akaachane na mmewe kisheria na kutafuta mwanaume wa kuishi nae wanaependana.

Ni story ndefu nimefupisha ila hata ndugu na wazazi wake walitakaga kumtoa huko akagoma na sasa amekubali. Ila issue ana watoto 4, anawaweza ila sasa mme ndo wakiachana anaweza akachizi maana hajiwezi hata kwa chupi tu!

Huyu mwanamke anaweza kuolewa tena? Je anahitaji mwanaume wa umri gani?(yeye ana kama 42)

Miaka 42 kuolewa tena??

Anaweza kuachana na mmewe lakini atageuka kuwa mchepuko tu wa wakware.

Miaka 42 kwa mwanamke ni mingi mno
 
Miaka 42 kuolewa tena??

Anaweza kuachana na mmewe lakini atageuka kuwa mchepuko tu wa wakware.

Miaka 42 kwa mwanamke ni mingi mno

Wingi wake ni upi ndugu? Maana mfano kama na wewe una watoto, hata usipozaa nae lakini mkasaidizana maendeleo huwaga kuna shida?
 
Back
Top Bottom