G.Man
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 1,201
- 2,501
Sasa ujana akule na mume wake alaf uzee ndo anataka ampelekee nan!! Sababu yake hasa ya kutaka kuolewa inaweza ikawa ipi!? sioni hiyo haja nafkiri ni mtu ambaye ni tegemezi ndo maana anaona kama hana njia.
"Njoni wote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha" Yesu
"Njoni wote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha" Yesu