Aolewe au aendelee kuwa single at 40?

Maisha ya mapenzi Cha muhimu mioyo kuelewana....Dini ni Matendo na Siyo jina la mahali tunapopata mafundisho ya dini...


Maisha ni mafupi sana akicheza na kuacha kuuskiliza moyo wake atakufa hajayafurahia maisha....

Akiskia maneno ya ndugu ayapuuze na kuweka muziki
 
afanye maamuzi mwenyewe miaka 40? hana mtoto wala mume? akifika 45 injini itaisha nguvu, kuna watoto wa 20 wanakuja speed hao, na ukifanya mchezo ndio basi tena.
 
Asubiri tu, kwani ana haraka gani?muda bado upo, siku hizi menopause imehairishwa mpaka miaka 70
 
Habari za mchana wakuu,

Kuna rafiki yangu ambaye hana bahati ya kupendwa na mtu wa dini yake. Wakati anasoma chuo alibahatika kupendana na kijana mmoja ambaye alikuwa tayari kufunga ndoa na huyo binti watakapo hitimu masomo na kupata kazi.

Kama umeamua kua muumini fuata Imani ya dini yako inasemaje kuhusu ndoa na Kafiri. Vinginevyo fuata matamanio ya moyo wako yanakokupeleka, hatakama ni kwenye Jehanam.
 
personally am christian but nawapenda sana ma ustadhati jmn....the way they dress acha tuu............ni mkeo but mkitoka asubuhi hata jkisigino hukioni,,,kila usiku unamuona ni mpya............i love them
 
Eti dini...hamjui zilikuja na meli..kuna dini mamia kama sio maelfu duniani kipi kinakuaminisha yako no special kuliko ya wale..
Ndoa inadumu iwapo kuna mapenzi btn 2 parties na mnamwamini Mungu, dini fulani ni by the way..Mungu anabariki watu wa dini zote kadri apendavyo..never limit ur life or thinking coz of dini..ur missing a lot, there's beauty in our differences pia..,
 
kuna wahabar nimesoma leo wazee wamefunga ndoa wakiwa na zaid ya 80 years ila wao wanawatoto asichoke kusubiri

il kwann amekataa iyo offer ya stastes wakat anataka mwanaume ata kama ni dini tofuti yee tafute mtoto akitulize miaka 40 huna mtoto ata wakusingiziwa aaaah jaman tuache utan
 
Hizo stress zitamfanya aharibu kabisa, aache kufikiria habari ya kuolewa kwa sasa, aanzishe project itakayo mkeep busy. Mara nyingi mtu uliepangiwa na Mungu anakuja wakati ambao jukutegemea.
Hiyo project ataifanya mpaka lini? Vijana wa siku hizi hawaoi wazee...labda aolewe na kibabu cha miaka sabini ama .....mtu aliyeshindwana na ndoa mara tatu mwanamke kuto kuolewa it is a curse trust me
 
Hiyo project ataifanya mpaka lini? Vijana wa siku hizi hawaoi wazee...labda aolewe na kibabu cha miaka sabini ama .....mtu aliyeshindwana na ndoa mara tatu mwanamke kuto kuolewa it is a curse trust me
Hamna curse wala nini, when the time is right someone will be available for her, don't put unnecessary pressure on her plz.
 
Hizo stress zitamfanya aharibu kabisa, aache kufikiria habari ya kuolewa kwa sasa, aanzishe project itakayo mkeep busy. Mara nyingi mtu uliepangiwa na Mungu anakuja wakati ambao jukutegemea.
Huyu aweza kuwa age mate?
 
Back
Top Bottom