Aolewe au aendelee kuwa single at 40?

Nashengena

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
2,016
3,694
Habari za mchana wakuu,

Kuna rafiki yangu ambaye hana bahati ya kupendwa na mtu wa dini yake. Wakati anasoma chuo alibahatika kupendana na kijana mmoja ambaye alikuwa tayari kufunga ndoa na huyo binti watakapo hitimu masomo na kupata kazi.

Vijana wale walimaliza masomo yao vizuri na kila mmoja alibahatika kupata kazi hapa Dar. Katika harakati za maandalizi ya kufunga ndoa yule kijana alienda kujitambulisha nyumbani kwa yule msichana lakini familiaya mwanamke alikataa na kuwa mtoto wao hawezi kuolewa na mwanaume wa dini tofauti. Kwa sababu hiyo yule ikabidi waachane kwa huzuni na majonzi makubwa.

Baada ya miaka kadhaa yule kijana alimpata wa dini yake wakafunga ndoa. Kimbembe kikawa kwa binti. Kila mwanaume anayetaka kumuoa anakuwani dini tofauti na yake. Sasa hivi ana umri wa miaka 40 hana mtoto, rafiki wa kiume wala mchumba. Amekuwa akijiuliza kwa nini imekuwa hivyo na kujilaumu kuzaliwa mwanamke sababu angekuwa mwanaume anaamini angekuwa na familia kwani wanaume wao wanatafutwa. Familia yake inamshauri atafute mwanaume ili azae naye apate hata mtoto. Anajiuliza kwa nini familia inakubali mimi niwe mzinifu lakini hawakubali mimi niwe na ndoa inayotambulika?

Hivi karibuni rafiki yake wa toka mwaka 2005 ambaye anaishi marekani amemuomba awe mchumba wake ''taking friendship to the next level'' lakini huyo dada amekataa sababu ya dini. Ameamua kubaki single sababu hana jinsi. Amekuwa mtu wa huzuni muda mwingi kwani ndoto zake za kuwa na familia kama zinayoyoma.

Jamani huyo dada yuko njia panda hajui la kufanya. Mimi nimemuambia afanye maamuzi magumu kama niliyofanya mimi. Kwani nililkuwa napata wachumba wa kikirsto mwanzo mwisho hatimaye nikakata shauri kuwa naolewa na wa dini tofauti. Familia ilinitenga mpaka baba yangu akasema hataki kuniona. Baada yamiaka kadhaa ya ndoa yetu eti sasa ananiona kama mimi ndio mtoto wake mwenye akili kwani nimekuwa msaada mkubwa kwa familia.

Haya mambo huwa nimagumu sana lakini mkisimama imara mnaweza kufanikiwa. Nina mifano mingi ambayo wazazi wanakuwa wagumu lakini baadae wanalainika.

Karibuni wanajamvi kwa ushauri, na wale ambao wamepitia haya mnaobwa kutoa uzoefu wenu hapa

Shukrani
 
Habari za mchana wakuu

Kuna rafiki yangu ambaye hana bahati ya kupendwa na mtu wa dini yake . Wakati anasoma chuo alibahatika kupendana na kijana mmoja ambaye alikuwa tayari kufunga ndoa na huyo binti watakapo hitimu masomo na kupata kazi.

Vijana wale walimaliza masomo yao vizuri na kila mmoja alibahatika kupata kazi hapa Dar. Katika harakati za maandalizi ya kufunga ndoa yule kijana alienda kujitambulisha nyumbani kwa yule msichana lakini familiaya mwanamke alikataa na kuwa mtoto wao hawezi kuolewa na mwanaume wa dini tofauti. Kwa sababu hiyo yule ikabidi waachane kwa huzuni na majonzi makubwa.

Baada ya miaka kadhaa yule kijana alimpata wa dini yake wakafunga ndoa. Kimbembe kikawa kwa binti. Kila mwanaume anayetaka kumuoa anakuwani dini tofauti na yake. Sasa hivi ana umri wa miaka 40 hana mtoto, rafiki wa kiume wala mchumba. Amekuwa akijiuliza kwa nini imekuwa hivyo na kujilaumu kuzaliwa mwanamke sababu angekuwa mwanaume anaamini angekuwa na familia kwani wanaume wao wanatafutwa. Familia yake inamshauri atafute mwanaume ili azae naye apate hata mtoto. Anajiuliza kwa nini familia inakubali mimi niwe mzinifu lakini hawakubali mimi niwe na ndoa inayotambulika?

Hivi karibuni rafiki yake wa toka mwaka 2005 ambaye anaishi marekani amemuomba awe mchumba wake ''taking friendship to the next level'' lakini huyo dada amekataa sababu ya dini. Ameamua kubaki single sababu hana jinsi. Amekuwa mtu wa huzuni muda mwingi kwani ndoto zake za kuwa na familia kama zinayoyoma.

Jamani huyo dada yuko njia panda hajui la kufanya. Mimi nimemuambia afanye maamuzi magumu kama niliyofanya mimi. Kwani nililkuwa napata wachumba wa kikirsto mwanzo mwisho hatimaye nikakata shauri kuwa naolewa na wa dini tofauti. Familia ilinitenga mpaka baba yangu akasema hataki kuniona. Baada yamiaka kadhaa ya ndoa yetu eti sasa ananiona kama mimi ndio mtoto wake mwenye akili kwani nimekuwa msaada mkubwa kwa familia.

Haya mambo huwa nimagumu sana lakini mkisimama imara mnaweza kufanikiwa. nina mifano mingi ambayo wazazi wanakuwa wagumu lakini baadae wanalainika.

Karibuni wanajamvi kwa ushauri, na wale ambao wamepitia haya mnaobwa kutoa uzoefu wenu hapa

Shukrani
maamuz ya ndoa mm hakuna atakae kuja kuniingilia so bad hata kama ni mzazi wangu ntakapokuja kuamua hapo ntakua nshaamua
 
Kuwaheshimu wazazi ni sawa lakini asijisahau kuishi maisha yake,as long as hawavunjii heshima anaweza kufanya maamuzi sahihi,awaweke chini wazee wake awaeleze kua umri umeshaenda na she needs a life partner sio kwenda kuzaa nje sasa hao wazazi wanakataa nini wanakubali nini? na shoga yako pia ana sound kua hana maamuzi ndio mana akayumbishwa hivyo i do understand ni wazazi lakini na wao pia hukosea yeye kama mtoto nilazima uwakazie macho ili wakiwa peke yao wawaze ivi miaka 40 ana wezaje kustahmili nanihi..... yani sielewi kabisaaa duu...
 
Mwambie rafiki yako afanye maamuzi magumu ili aishi kwa furaha. Furaha yake ni ndoa afate ulichokifanya wewe,hata ndugu wakimtenga at least atakua na mtu wa kuwa upande wake.
 
Habari za mchana wakuu

Kuna rafiki yangu ambaye hana bahati ya kupendwa na mtu wa dini yake . Wakati anasoma chuo alibahatika kupendana na kijana mmoja ambaye alikuwa tayari kufunga ndoa na huyo binti watakapo hitimu masomo na kupata kazi.

Vijana wale walimaliza masomo yao vizuri na kila mmoja alibahatika kupata kazi hapa Dar. Katika harakati za maandalizi ya kufunga ndoa yule kijana alienda kujitambulisha nyumbani kwa yule msichana lakini familiaya mwanamke alikataa na kuwa mtoto wao hawezi kuolewa na mwanaume wa dini tofauti. Kwa sababu hiyo yule ikabidi waachane kwa huzuni na majonzi makubwa.

Baada ya miaka kadhaa yule kijana alimpata wa dini yake wakafunga ndoa. Kimbembe kikawa kwa binti. Kila mwanaume anayetaka kumuoa anakuwani dini tofauti na yake. Sasa hivi ana umri wa miaka 40 hana mtoto, rafiki wa kiume wala mchumba. Amekuwa akijiuliza kwa nini imekuwa hivyo na kujilaumu kuzaliwa mwanamke sababu angekuwa mwanaume anaamini angekuwa na familia kwani wanaume wao wanatafutwa. Familia yake inamshauri atafute mwanaume ili azae naye apate hata mtoto. Anajiuliza kwa nini familia inakubali mimi niwe mzinifu lakini hawakubali mimi niwe na ndoa inayotambulika?

Hivi karibuni rafiki yake wa toka mwaka 2005 ambaye anaishi marekani amemuomba awe mchumba wake ''taking friendship to the next level'' lakini huyo dada amekataa sababu ya dini. Ameamua kubaki single sababu hana jinsi. Amekuwa mtu wa huzuni muda mwingi kwani ndoto zake za kuwa na familia kama zinayoyoma.

Jamani huyo dada yuko njia panda hajui la kufanya. Mimi nimemuambia afanye maamuzi magumu kama niliyofanya mimi. Kwani nililkuwa napata wachumba wa kikirsto mwanzo mwisho hatimaye nikakata shauri kuwa naolewa na wa dini tofauti. Familia ilinitenga mpaka baba yangu akasema hataki kuniona. Baada yamiaka kadhaa ya ndoa yetu eti sasa ananiona kama mimi ndio mtoto wake mwenye akili kwani nimekuwa msaada mkubwa kwa familia.

Haya mambo huwa nimagumu sana lakini mkisimama imara mnaweza kufanikiwa. nina mifano mingi ambayo wazazi wanakuwa wagumu lakini baadae wanalainika.

Karibuni wanajamvi kwa ushauri, na wale ambao wamepitia haya mnaobwa kutoa uzoefu wenu hapa

Shukrani
Sikia we kijana, unajua kila jambo lina makusidio yake na siamini kabisa kwamba anakosa watu wa dini yake ila inawezekana anatabia ya kuchagua chagua na vigezo alivojiwekea ndio tatizo kwake, mimi namshauri kitu kimoja amuombe mungu kw zati ya dini yake na km itashindikana kw muda furani basi toa tena taarifa tuangalie nini cha kumsaidia ila naamini km ataomba kwa zati, lazima atapata yule wa maisha yake
 
Mwambie rafiki yako afanye maamuzi magumu ili aishi kwa furaha. Furaha yake ni ndoa afate ulichokifanya wewe,hata ndugu wakimtenga at least atakua na mtu wa kuwa upande wake.
Ndio nimemuambia hivyo, mimi familia yangu aliniambia kwani ni lazima uolewe si unaweza kuzaa tu mtoto wako. Nikawakatalia na kuwaambia kwa hiyo ushauri wenu ni bora kuliko mimi kuolewa. At the end of the day hakuna anayeweza kuingilia ndoa yenu. Wazazi waache kuwachangulia watoto wao nani wa kuolewa nao. Watoto wa kike wana wakati mgumu sana linapokuja suala lakuolewa kwani kwa desturi zetu kijana ndio anamfuata msichana kwa ajili ya mahusiano. Kuna wasichana wengi sana maisha yao yanaharibika kwa sababu hiyo tu. Wanaishia kuzaa na wanaume tofauti tofauti
 
Sikia we kijana, unajua kila jambo lina makusidio yake na siamini kabisa kwamba anakosa watu wa dini yake ila inawezekana anatabia ya kuchagua chagua na vigezo alivojiwekea ndio tatizo kwake, mimi namshauri kitu kimoja amuombe mungu kw zati ya dini yake na km itashindikana kw muda furani basi toa tena taarifa tuangalie nini cha kumsaidia ila naamini km ataomba kwa zati, lazima atapata yule wa maisha yake
Kwa hiyo asubiri mpaka lini? Huyo mwanamke hajawahi kupata wa dini yake. Na huwezi kuolewa tu na mtu yeyote eti kwa sababu ni dini moja. Je watu wa dini moja huwa hawaachani? What matter ni mtu ambaye utampenda etc.
 
Kwa hiyo asubiri mpaka lini? Huyo mwanamke hajawahi kupata wa dini yake. Na huwezi kuolewa tu na mtu yeyote eti kwa sababu ni dini moja. Je watu wa dini moja huwa hawaachani? What matter ni mtu ambaye utampenda etc.
Mala nyingi huwa sipendi sana kuzungumzia kuhusu dini, na hao wazazi wake wanamantiki kubwa sana kw mungu ila tatizo ni hapo wanapokubali azae tu nje ya ndoa, mimi bado namshauri kitu kimoja, mungu hamnyimi mja wake kitu chochote hata km miaka mingapi maadamu ipo, naamini km mungu amepanga apate mume basi atapata lkn ukimshamri afanye maamuzi magumu kumbuka kuna leo na kesho
 
Mwambie ni mpuuzi, mapenzi ya sasa hayana dini. Dini ni ujinga mkuu wa binadamu
 
Afanye maamuzi magum kwani hayo nimawazo ya wazazi nayeye anama amuzi ya kuchagua atakacho asiishi maisha yakuchaguliwa na wazazi
 
Back
Top Bottom