Any one who knows about Cambridge Analytical Scandal kindly explain to us

Any one who knows about Cambridge Analytical Scandal kindly explain to us

ndo maana wachina wana tight control ya internet, vijana wa kiasia wakikomalia jambo huwa ni wabishi na wanaweza kuandamana hata miaka 10 mpaka walipate.

Maandamano ya Tianmen square yaliufundisha utawala wa beijing somo kuwa usiwaruhusu wachina kuingia mtaani ni hatari, na ndo maana censorship ya internet kwenye nchi yao ni kubwa mno
 
Nadhani hata kauli ile ya "LOWASA!MABADILIKO!MABADILIKO!LOWASA!!"ITAKUWA NI WAO!!maana ccm waliteseka sana!!isingekuwa kipilimba na Makamba junior na kinana pale masaki!CHADEMA INGEKUWA NDANI!!!!!!
 
Kizzy Wizzy,
Hillary was really "CROOKED ".. [emoji3] [emoji3]
Really really crooked...

Halafu wakakiri kutengeneza picha ya neno crooked wakaweka na alama ya pinguuu kwa kutumia double OO asee hawa jamaa wanajua kucheza na psychology sio mchezo
 
Maandamano ya Tianmen square yaliufundisha utawala wa beijing somo kuwa usiwaruhusu wachina kuingia mtaani ni hatari, na ndo maana censorship ya internet kwenye nchi yao ni kubwa mno
Kuna mchina atayekuja andamana baada ya Tukio la Tianmen Square?..


labda huku Afrika!.
 
Back
Top Bottom