Any guy here ever used Viagra?

kunywaa mafuta ya mzaituni...hivi kumbe hili nitatizo now days,sasa we asubui unakunywa chai na slesi moja,mchana chips mayi jioni chips mshikaki,ukija kwa joice akili yako iko kwenye tendo tu utaacha kukojoa ka kuku unaingia moa mbili wzangu hao,mkiwa mna duu acheni kuweka mawazo yote tunduli au badilini mikao mara kwa mara utachelewa,shishauri viagra walaa nini
 
Sijui hata kama hizi Viagra zinakazi katika tendo.
 
Sijui hata kama hizi Viagra zinakazi katika tendo.
Sijawahi kutumia chochote na sitegemei
 

Mkuu hapa nijuze.. inakuchelewesha au inafanya kiungo chako cha kiume kicimame kwa muda mrefu...?
 
I have used cialis..

Wewe ndie unaetutumia (au unasababisha tutumiwe) spam emails za cialis kumbe..! Binafsi sijawahi kutumia na sitaki kutumia. Ya kazi gani kujiumiza na ma-chemicals wakati ndizi za kuchoma zinafaa tu! Eti Mamndenyi si ndivyo hivyo?
 
By Boflo

tumia Cialis

Kwa nini atumie cialis?

Wakuu nime-google hiyo cialis.. ina maelezo ya kunitisha kidogo.. Kote inashauri nipate go ahead toka kwa my Doc or Healthcare provider.. sasa kibongo bongo mnajua hatuna dizaini hiyo ya washauri (kwa sie akina kapuku).. Ila guys maisha yangu ya raha yako mashakani..! Najua sababu kwa nini iko hivi bt nataka ushauri.. Vinginevyo shemeji zenu watantangaza hadharani na gari langu la kusukuma..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…