Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,060
- 4,845
Wakuu habari za muda mchache uliopita POTUS kawatangaza ANTIFA kama kikundi cha kigaidi. Huko Twitter nimeona wengi wakimpongeza sana na nimejaribu kuwa Google hawa jamaa (ANTIFA)sijapata maelezo kamili lakini ni kama wahuni tu fulani.
Naomba wajuvi mdadavue zaidi hapa
Naomba wajuvi mdadavue zaidi hapa