Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
- Thread starter
- #21
Hahahahag
Nipe namba ya huyo dancer wa kike mwenye zigo...
Eti, kipa katoka..Unajua sisi ndo wehu, Not Don Kama mzima kuliko sisi, coz anaishi kwenye dreams na vision kubwa Sana amesha take huge risks kwenye maisha yake.
Imagine huyu mtu amelaunch Hadi album, katengeneza Melody, kaenda studio, katoa nyimbo then katoa na album na anaipush sokoni mwenyewe.
Afu uje useme Don kipa katoka... Sisi ndio wehu Don Ni mzima kabisa. Tatizo ni sisi hatuwezi kucomprehend his level of understanding.
Nahisi nna hamu nisikie magoma yake.
Ni yeye
Bonge la ngoma.... Deo utakuwa unapenda Sana masambwanda. Yametikiswa madako.
We utakua mtoto humuhivi huyu ni nani mbona namsikia sikia sana kuna nini?
Kabisaaaaaah umemalizaaaaahUnajua sisi ndo wehu, Not Don Kama mzima kuliko sisi, coz anaishi kwenye dreams na vision kubwa Sana amesha take huge risks kwenye maisha yake.
Imagine huyu mtu amelaunch Hadi album, katengeneza Melody, kaenda studio, katoa nyimbo then katoa na album na anaipush sokoni mwenyewe.
Afu uje useme Don kipa katoka... Sisi ndio wehu Don Ni mzima kabisa. Tatizo ni sisi hatuwezi kucomprehend his level of understanding.
Nahisi nna hamu nisikie magoma yake.