Anti virus PANDA ni nzuri?

Mkuu nimejaribu kugoogle panda kuona ubora wake, haipo hata ktk top 20.
lakini hii haimaanishi kuwa ni mbaya, hapana. ngoja waje waliowahi kuitumia watakupa taarifa zaidi.
Binafsi nakushauri tumia karspersky av ipo powa sana na inaaminika
 
Salaam, naomba kujua kama hii anti virus PANDA inafanya kazi vizuri.

Sometime hizi antivirus ni usanii tu. Na real theat siku hizi kwenye internet sio virus bali ni spywares and the like.

So hizi kampuni zinajitahidi kujitangaza na kuwachanganya wateja. Infactkuna antivirus nyingi zinatoa false positive nyingi kuwarubuni watu kuwa zinafanya kazi vizuri.

false positive ni pale antivrus inakupa mssage imedetect na kufutavirus kumbe file inalosema wala halina madhara. Mfano ni kama software za key generators. So usi judge virus tu kwa kutoa ujumbe wa tahadhari

Soma hapa upate mwanga Antivirus software - Wikipedia, the free encyclopedia

Pia soma review za watu ujue antivirus inatumia memory kiasi gani. Kuna virus nyingine nzuri but zinatumia CPU na memory sana. kapersky ni one of t resouce intensive antivirus software . Kwenye kundi hili pia kuna antivirus kama Norton na Macfee.

Microsoft wana Antivirus Miccorsot security essential amabyo kwa desktop user binafsi sioni tatizo lake na iko poa sana tu kama zilivyo Avast.

Hiyo panda sijawai kuitumia soma review za watu ujue but ukimua. nyingine jaribu kucheki Microsoft security essentials na Avast.
 
. Kuna virus nyingine nzuri but zinatumia CPU na memory sana. kapersky ni one of t resouce intensive antivirus software . .

Mkuu hapo kunaweza kuwa na tatizo kama inachukua nafasi kubwa? au inafanya compyuta kuwa nzito?
 
Mkuu nimejaribu kugoogle panda kuona ubora wake, haipo hata ktk top 20.
lakini hii haimaanishi kuwa ni mbaya, hapana. ngoja waje waliowahi kuitumia watakupa taarifa zaidi.
Binafsi nakushauri tumia karspersky av ipo powa sana na inaaminika

Kaspersky ni nzuri lakini hakikisha kuwa pc yako ina ram kubwa, ikiwezakana 1gb au zaidi
 
Mkuu hapo kunaweza kuwa na tatizo kama inachukua nafasi kubwa? au inafanya compyuta kuwa nzito?

Kaspersky inatumia nafasi ndogo tu kawaida ila ina Tabia ya Kuscan wakati wewe unaendelea na kazi so kama computer yako haina memory ya kutosha computer lazima iwe nzito au isifanye kazi kabisa....Avast ni Nzuri..ni nyepesi kwani yenyewe unapoistall inascan computer nzima...huwa hairudii kila siku...then kadri unavyotumia huwa inafanya fast ya mafile mapya tu au unapolifungua file fulani tu....
 
Sometime hizi antivirus ni usanii tu. Na real theat siku hizi kwenye internet sio virus bali ni spywares and the like.

So hizi kampuni zinajitahidi kujitangaza na kuwachanganya wateja. Infactkuna antivirus nyingi zinatoa false positive nyingi kuwarubuni watu kuwa zinafanya kazi vizuri.

false positive ni pale antivrus inakupa mssage imedetect na kufutavirus kumbe file inalosema wala halina madhara. Mfano ni kama software za key generators. So usi judge virus tu kwa kutoa ujumbe wa tahadhari

Soma hapa upate mwanga Antivirus software - Wikipedia, the free encyclopedia

Pia soma review za watu ujue antivirus inatumia memory kiasi gani. Kuna virus nyingine nzuri but zinatumia CPU na memory sana. kapersky ni one of t resouce intensive antivirus software . Kwenye kundi hili pia kuna antivirus kama Norton na Macfee.

Microsoft wana Antivirus Microrsot security essential amabyo kwa desktop user binafsi sioni tatizo lake na iko poa sana tu kama zilivyo Avast.

Hiyo panda sijawai kuitumia soma review za watu ujue but ukimua. nyingine jaribu kucheki Microsoft security essentials na Avast.

Mimi natumia hii na inafanya kazi vizuri sana ila kama unatumia window xp hakikisha ina SP3
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom