Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
nikitumia taaluma yangu ya uchoraji ktk kutambua anatomy ni dhahiri hiyo picha ina feature zoote kama sio nyingi za kiume.
Angalia mabega. taya, muundo wa mapaja, angalia kiuno hasa makalio yalipoanzia yananipa tashwishwi kumfahamu zaidi huyu ezekieli.
Nikienda kwenye anatomy ya majina, tujiulize kwa nini atumie jina la EZEKIEL kama utambulisho badala ya jina lake?
nina maswali hapo. naomba aliyecheza naye utotoni ajitokeze atufafanulie hii tendawili.
picha kwa hisani ya Dina Marrios
Angalia mabega. taya, muundo wa mapaja, angalia kiuno hasa makalio yalipoanzia yananipa tashwishwi kumfahamu zaidi huyu ezekieli.
Nikienda kwenye anatomy ya majina, tujiulize kwa nini atumie jina la EZEKIEL kama utambulisho badala ya jina lake?
nina maswali hapo. naomba aliyecheza naye utotoni ajitokeze atufafanulie hii tendawili.
picha kwa hisani ya Dina Marrios