mwanadome JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 5,008 Reaction score 5,414 Nov 29, 2016 #161 Cannibal OX said: Anataka kutusahaulisha tukio lake . hana lolote ni mpiga dili huyo. Click to expand... mkuu, umetumia vyema kichwa chako.shukrani
Cannibal OX said: Anataka kutusahaulisha tukio lake . hana lolote ni mpiga dili huyo. Click to expand... mkuu, umetumia vyema kichwa chako.shukrani
C chuwaalbert JF-Expert Member Joined Sep 17, 2010 Posts 3,598 Reaction score 2,134 Nov 29, 2016 #162 tpaul said: Mzee wa upako yupo sahihi kwa 101%. Anayempinga akapimwe akili. Click to expand... ..Asikilizwe!
tpaul said: Mzee wa upako yupo sahihi kwa 101%. Anayempinga akapimwe akili. Click to expand... ..Asikilizwe!
N ndayilagije JF-Expert Member Joined Nov 7, 2016 Posts 7,491 Reaction score 8,305 Nov 29, 2016 #163 denoo49 said: Kila neno litanenwa, ila na kila goti litapigwa. Click to expand... Hakuna rangi tutaacha ona! Ukata unatudili kiroho safi,yote tutasema
denoo49 said: Kila neno litanenwa, ila na kila goti litapigwa. Click to expand... Hakuna rangi tutaacha ona! Ukata unatudili kiroho safi,yote tutasema
K kajigili kiwira New Member Joined Nov 25, 2016 Posts 3 Reaction score 2 Nov 29, 2016 #164 Jamani tutumie jukwaa hili kuelimishana na kujadili changamoto mbali mbali zilizopo nchini kwetu sasa haya ya nani kafanya nini hayatupi siha
Jamani tutumie jukwaa hili kuelimishana na kujadili changamoto mbali mbali zilizopo nchini kwetu sasa haya ya nani kafanya nini hayatupi siha
evonik JF-Expert Member Joined Jun 12, 2015 Posts 3,996 Reaction score 5,181 Nov 29, 2016 #165 Hata yeye ni saf
Kiwa JF-Expert Member Joined Oct 4, 2011 Posts 2,102 Reaction score 910 Nov 29, 2016 #166 Hivi kitwa na Luse nani mkali wa kupiga vyombo?
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 26,021 Reaction score 25,428 Nov 30, 2016 #167 Kiwa said: Hivi kitwa na Luse nani mkali wa kupiga vyombo? Click to expand... Ndio wadudu gani hawa mkuu? Unamjua nzee wa upako?
Kiwa said: Hivi kitwa na Luse nani mkali wa kupiga vyombo? Click to expand... Ndio wadudu gani hawa mkuu? Unamjua nzee wa upako?
T treborx JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 4,621 Reaction score 2,223 Nov 30, 2016 #168 Ile barabara ya kwenda kanisani kwake imejengwa?