Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

Huyu mzee wa upako mjanja sana, hapo badala ya watu kuendeleza mjadala wa ulevi wake kitakachofuata ni matamshi yake kuhusu Lowassa ndio yatakayojadiliwa, kausoma mchezo vizuri anajua kucheza na mind za watu!
Kwa kuwa idadi kubwa wanamsapoti Lowassa anajua ili kufuta ile aibu ni kugusa pale ambapo wengi watasapoti!!
Chezea bapa wewe, Bapa inaongeza I.Q...
 
WATU WENYE AKILI DUNI HUWEZA KUDHANI,RAIS MAGUFULI NI ADUI KWA LOWASSA,HILO HALIPO HAWA NI MARAFIKI WAKUBWA KWELI KWELI../ BALI MIFUMO ILIYOPO NDIYO INASABABISHA WATU KUKAA MBALI-/ LAKINI IKUMBUKWE MTU MZIMA HAPANGIWI RAFIKI,WALA ADUI.
•mf.ukiniambia mbowe ni adui na rais magufuli hakika NITAKUCHEKA SANA.
USILOLIJUA USIKU WA KIZA.
UADUI MKUBWA NA MBAYA ZAIDI UPO NDANI YA CHAMA KONGWE...
"TIME WILL TELL"
 
Maneno hata kwenye kanga yapo. hii ndo sababu kubwa Cdm kumpokea lowasa Kwa sababu ni msafi tulijiridhisha hizo tuhuma ni za kubumba kama kweli mwizi ccm wampeleke mahaksmani.

na akipelekwa akashindwa basi yesu atarudi kabla ya siku ya mwisho.

kwakuwa tunajua hakuna kitu kama hicho lowasa baba karibu Cdm na marafiki wote walokufata wakaribie milele .

na wale waliobaki ccm ile mwaka Jana kwenye mkutano mkuu walishindwa kuzuia hisia zao wakaamua waimbe ule wimbo pendwa "tuna imani na lowasa" nao tunatambua uwepo wao indirect. kwenye siasa lowasa ni dhahabu huu ndo ukweli.
 
Mlimuhoji muda gani? hebu rudini tena mida ya usiku saa mbili mbili hivi kama hata atakumbuka hayo yote.
 
Mtumishi wa Mungu hasemwi vibaya ila unaacha Mungu atafanya atakavyo. It's advisable not to talk ill of Pastors as God knows how to handle them.
 
Alikuwa amekunywa ngapi wakati anaongea utumbo huu!!
 
Alikuwa amekunywa ngapi wakati anaongea utumbo huu!!
Rais Magufuli atembelea kanisa la mch. Lusekelo.

“Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mahubiri yako, kwa hiyo mahubiri unapoyatoa yanasambaa, kwa kweli mimi na familia yangu huwa yanatubariki sana, kwa hiyo nataka kukuthibitishia ninakupenda sana.

“Ndio maana kuna siku moja, ulizungumza kuhusu shida ya barabara yako ikabidi nitafute mbinu za namna gani tunaweza kuishughulikia kwa utaratibu ulio wazi, nikamtuma meneja wa barabara wa Mkoa wa Dar es salaam, akaja, akaipitia na akafahamu changamoto zilizopo, akafanya upembuzi yakinifu na usanifu, nataka kukuthibitishia kuwa fedha za kutengenezea barabara hii zipo” Alisema Dkt. Magufuli huku akishangiliwa na waumini.
 
Ni zaidi ya dhahabu. Lowassa ni mfano wa kuigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…