Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 998
Boeing au Airbus hawafanyi biashara ya kulease ndege mkuu ni wauzaji,ila kuna makampuni yananunua na kulease yapo,Indonesia, Malaysia,China,Iran,lyanair,Quantas wameoda ndege ngapi hapo ndo utajua Lusekelo alivyomjinga,anafikiri watanzania wote sawa na waumini anaowadanganya kanisani kwake.Naomba muamini kama haijawahi kutokea nami narudia haijawahi kutokea. Mashirika na Nchi zoote ukisikia wamenunua ndege huwa ni some kind of lease na si cash kama ilivyofanya serikali. Wametowa cash wakati kawaida huwa ni mkataba unalipa kidogo kidogo na riba ipo. Yuko sahihi labda kama hamtaki kumuelewa.
NaYeye kwakupenda sifa anapamba hadi anajihizirisha kuwa kunakitu anakitaka kutoka mamlaka iliopo asaidiwe anajikuta anasema uongo anajiita mtumishi wamungu unasema uongAtakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
Huyu kalewa konyagi ka nchi kama QATAR au UAE wananunua airbus380 sitini 60 kwa wakati mmoja sembuse hivi vi bajaji vyetuJana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!
Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.
Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
Atakuwa hayuko sawa huyo hakika.Maradhi yashaanza kumtafuna.Ndege nane,wakati kuna nchi zinaagiza ndege zaidi ya mia moja kwa mpigo!!.Nchi kama Iran iliagiza ndege mia moja kutoka Airbus,achilia mbali kutoka Boeing.China wameagiza ndege karibia 60 kutoka Airbus, achilia mbali kutoka Boeing.Halafu anakuja mnywa konyagi mmoja na kutapika uharo.Mungu mnusuru mja wako Lusekelo
Utamsikia Muandishi: "Hivi huoni kwamba Mheshimiwa baada kufanya yote haya kuna haja ya kuingezewa muda wa kutongoza ili tuweze kupiga hatua ya maendeleo?"Maswali yao yanakuwa kana kwamba yanamuongoza anayeulizwa kuyajibu vizuri.Hatuna waandishi wa habari ambao ni critical questioners
K- Vant zina madhara makubwa sana napendekeza zipigwe marufuku.Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!
Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.
Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.
Dish limeyumba hatari.Hivi wewe unavyomuona Lusekelo kuna usawa wowote wa kiakili tena pale?. Angalia afya yake halafu toa tathmini.
https://www.facebook.com/Nafikiri lengo kubwa la press conference lilikuwa kuwaonyesha kuwa yeye yupo na ni mzima wa afya sababu kuna wazushi walizusha kafa wengine wakasema hatavuka mwezi wa tano.Hayo mengine aliyoongea ni mazungumzo baada ya habari
Hiyo title ni uongo usiopimika.Jana Jumamosi kwenye kituo cha runinga cha Star TV ulioneshwa mkutano wa waandishi wa habari na mzee wa upako, mkutano huo ulikita kwenye siasa na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ni kada wa CCM toka utotoni!
Lusekelo aliongea mambo mengi kuhusu awamu hii ya Magufuli yaliyokuwa na lengo la kumtonya amkumbuke na yeye huko aliko, hali si nzuri kwake. Mzee wa upako alielezea alivyo kuwa akiimba msitari wa mbele kwenye mikutano ya CCM ambampo kuthibitisha hill alitoa kibwagizo cha wimbo wa CCM.
Inaonesha wazi kuwa mambo hayaendi sawa kiasi cha muonekano wake kuwa si ule tuliouzoea kumuona, ucheshi haupo tena.