Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 12,325
- 38,195
Muda wa Wladimir umeisha.....watu hawataki mabadilikoWladimir Klitschko mapambano yake ya nyumbani huwa anapigania Ujerumani, na pambano la mwisho kabla ya jana alipigwa na Tyson 'Gypsy King' Fury huko huko Ujerumani. Wladimir kashaisha, mtu kapigwa kwa TKO mtu unaleta ushabiki.