Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

Hata Lewis kaliongelea hili baada ya kusikia Joshua alikataa kupigana Vegas (kabla ya kuletwa Wembley ilipangwa lipigwe marekani) akasema huwezi kuwa champ of the world kwa kupigana sehemu moja tu malegend wote wamezichapa marekani kwann yy akatae ila yote ya yote tumpe hongera kijana arekebishe baadhi ya vtu vichache atafika mbali maana raundi ya 6 ile pambano lilishaisha bc tu Klitschko nae umri umeenda dogo alishavurugwa asingempa pumzi ni combination ya right n left hooks punches!
 
Gang Chomba nakubaliana na wewe katika baadhi ya maeneo. Kiukweli dogo amejitahidi ila anahitaji pumzi ya kutosha....kama sio uzee wa Klitschko dogo alikuwa kashashindwa ule mchezo.

Mpaka raundi ya 11 inaanza majaji wawili walimpa uongozi AJ na mmoja alimpa Wladmir.

Still AJ anatakiwa kuonesha kuwa ni bondia.....Jana ni kama alibahatisha ( Klitschko kuna muda alijisahau)

Ngumi zilishinda Jana....kwa muda mrefu hatukuona muamko wa namna hii kwenye heavyweights.

Tumekumbuka zamani kwa kweli
 
Wladimir Klitschko mapambano yake ya nyumbani huwa anapigania Ujerumani, na pambano la mwisho kabla ya jana alipigwa na Tyson 'Gypsy King' Fury huko huko Ujerumani. Wladimir kashaisha, mtu kapigwa kwa TKO mtu unaleta ushabiki.
 
Mabondia wa Uzito wa Juu wenye ubora kwa sasa ni Deontay Wilder, Anthony Joshua na Luis Ortiz.
 
Kila kitu kina zama zake, tuukubali ukweli huo. Kilichomsaidia Vladimir ni ukongwe wake na nadhani hata AJ amempa heshima yake labda km pambano uliishia tu baada ya kupewa ushindi lkn alivyopewa mic hazungumze alitoa heshima kwa Vladimir. Suala la Vladimir kuwa bingwa muda mrefu hilo si ajabu mbona kina Tyson wamevuma kwa miaka mingi lkn wakati wao ukafika wakadundwa na kuachia ngazi. Kubali ukatae kijana alikuwa yupo vzr ingawa bado sio mzoefu sana. Natumaini akifikisha miaka km ya Vladimir nae atakuwa na mikanda yote km Vladimir alivyokuwa nayo.
 
Out of the three judges, two had Joshua ahead on the scorecards when the fight was brought to a premature end by referee David Fields.
American judge Don Trella had the British fighter ahead 96-93, while Puerto Rico's Nelson Vazquez scored the fight slightly closer at 95-93.
The third judge, American Steve Weisfeld, viewed the fight differently and had Klitschko in front at 95-93 heading into the eleventh.
 
Mtoa mada umeeleza mengi ila me nikwambie kitu kimoja hakukuwa na uweusi wala uzungu,binafsi me nilikuwa timu Vladimir na bado sijabadili mawazo yangu,post fight interview AJ aliongea kitu facts kabisa ngumi ni mchezo open hauna ujanja Ujanja,ukiingia ulingoni ukweli wote pale,Dogo ameshinda tena well deserved victory na sababu za ushindi wake hapo ndio motisha ya u home ground inakuja,kulikuwa na back up ya watu wengi hawakutaka Aj apotee,Unamkumbuka yule bondia aliesema I had to shout to AJ to fight hard n fast Coz Vladimir is stable so punch harder n quicker to kill the game.Pale ndio ilikuwa turning point,kama unamjua Vladmir ukienda nae round nyingi lazima ukae ndiomaana hata alipoangushwa mara mbili alitaka aendelee afike 12 rounds maana kabla ya upper cut score board ilikuwa upande WA Vladimir.
Hitimisho dogo kashinda kihalali washabiki wamechangia kumfanya dogo apambane maana round ya 6 ingekuwa Vladimir WA miaka 6 iliyopita Aj angekuwa hospital now ila Vladimir kazeeka hata mwili sio ule tena so hongera Aj ila Kuna mmarekani anamkwepa noma zaidi ya Furry,anakimbilia kwa furry ili ashinde tena again popularity amsake yule mnyamwezi ngoja nikumbuke jina Lake nitaedit hapa niliweke.
 
Labda ulibet ukaliwa,,,hatuangaliii ana pigana wap,france walibena ndoo ya dunia kwenye ardhi yao na tukaona kizaz kipya cha kuzaliwa kwa zidane,,sasa kisa kapigana kwao ndio tusimpe credit,,hapana,dogo kamdunda fresh kiroho saf,,27 yrs kwa 41 lazma hata nguv ziwe tofauti,,labda dunia ndio inakwenda kumshuhudia muingereza huyu baada ya akina Haye..
 
Ni kweli mkuu, yaani ile round ya 5 hata ningeingia Mimi ningemaliza mchezo, maana AJ pumzi ilikata hata kutembea ilikuwa tatizo, na mikono ilikuwa haichomoki kabisa. Kwa uzee wake akambwelambwela weeee hadi Dogo aka-recover.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Naona sasa mnaanza kuBwabwaja kama vibibi viuza ugoro... You dont know what happens in the ring..

Give credit and shut.

AJ is unbeatable.
 
Screenshot_20170430-091502.png
 
He remains the world heavyweight champion...

Kelele nyingine mkazipige huko vijiwe vya bao.
 
Joshua ameshinda lakini ukweli utabaki ukweli sio bondia mzuri anakata punzi mapema ni mzito na mvivu.....kinachombeba ni vitu viwili cha kwanza ni ujasiri akiamua kushambulia anashambulia kweli na hampi mpinzani wake nafasi ya kujipanga na kingine ni dogo ana ngumi nzito sana....................anahitaji kufanyia kazi sana mapungufu yake round ya tano alichoka mno yaani alishakata tamaa sijui kwa nini klitsko na uzoefu wake wote alishindwa kumaliza pambano pale
Ni kwelii inaweza kuwa pumzi ilitaka kukata ile round ya 5 lakin ukifatilia alitoka kupga konde za mfululizo hajakaa hajavuta pumzi vizuri alikuja kutana na konde zito lilimlegeza sana na nadhan katika mapambano yake 18 hajakutana na konde zito ka lile ko lazima ulegee uonekane kama umepotea fans wengi wa joshua ile round tukajua tumepgwa.... lakin usinambie sio bondia mzuri kwa kigezo cha pumzi tu
 
Hakuchoka mkuu bali alipigwa ngumi ya kidevu network ikakata. Alikua anaombea kengele ilie tu.
Joshua hana pumzi.......mapambano yake yote hajawahi kufika raundi ya 6 anamaliza sababu anajijua matatizo yake ya kuchoka...raundi ya 7,8,9,10 alijitahidi kutafuta pumzi ya 11 ndio akamaliza
 
Mtoa mada umeeleza mengi ila me nikwambie kitu kimoja hakukuwa na uweusi wala uzungu,binafsi me nilikuwa timu Vladimir na bado sijabadili mawazo yangu,post fight interview AJ aliongea kitu facts kabisa ngumi ni mchezo open hauna ujanja Ujanja,ukiingia ulingoni ukweli wote pale,Dogo ameshinda tena well deserved victory na sababu za ushindi wake hapo ndio motisha ya u home ground inakuja,kulikuwa na back up ya watu wengi hawakutaka Aj apotee,Unamkumbuka yule bondia aliesema I had to shout to AJ to fight hard n fast Coz Vladimir is stable so punch harder n quicker to kill the game.Pale ndio ilikuwa turning point,kama unamjua Vladmir ukienda nae round nyingi lazima ukae ndiomaana hata alipoangushwa mara mbili alitaka aendelee afike 12 rounds maana kabla ya upper cut score board ilikuwa upande WA Vladimir.
Hitimisho dogo kashinda kihalali washabiki wamechangia kumfanya dogo apambane maana round ya 6 ingekuwa Vladimir WA miaka 6 iliyopita Aj angekuwa hospital now ila Vladimir kazeeka hata mwili sio ule tena so hongera Aj ila Kuna mmarekani anamkwepa noma zaidi ya Furry,anakimbilia kwa furry ili ashinde tena again popularity amsake yule mnyamwezi ngoja nikumbuke jina Lake nitaedit hapa niliweke.
Donteiy wilder nadhani
 
Ni kwelii inaweza kuwa pumzi ilitaka kukata ile round ya 5 lakin ukifatilia alitoka kupga konde za mfululizo hajakaa hajavuta pumzi vizuri alikuja kutana na konde zito lilimlegeza sana na nadhan katika mapambano yake 18 hajakutana na konde zito ka lile ko lazima ulegee uonekane kama umepotea fans wengi wa joshua ile round tukajua tumepgwa.... lakin usinambie sio bondia mzuri kwa kigezo cha pumzi tu
kuwa bondia mzuri ni pamoja na kuhimili vishindo vya makonde makali na uwezo wako wa kukepa makonde.....vitu ambavyo Joshua hana.! ....kinachombeba ni uzito wa makonde yake na uwezo wake wa kushambulia mfululizo..!...Klitscho atajilaumu sana kupoteza hili pambano alitakiwa alimalize raundi ile ya tano dogo alishasurrender
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom