Anthony Diallo unamjua huyu?

Anthony Diallo unamjua huyu?

Ni hivi!

Sababu ya kuleta maswali haya ni kwamba. Enzi za Nyilabu akiwa BOT ilikuwa hawaruhusiwi kuwa na Biashara, hivyo Gavana Aliamua kumtumia Antoni Dialo katika uwekezaji wake. Na hivyo aliazisha kampuni kubwa ikiitwa SAHARA Communication ilikuwa inauza vifaa vya umeme under licence ya kampuni ya Ujerumani. Sasa wakati wote ilikuwa akifika Mwanza ilikuwa lazina afike kuona maendelea ya kampuni.

Lakini wakati Gavana akiwa kazini aliugua na kupelekwa kutibiwa nje Marekani lakini bahati mbaya alifariki na alipofariki kwa kawaida Mali zote zilibakia kwa Dialo. Na hadi kuabadili kampuni! Sasa kwa kuwa aliaminiwa Je aliweza kuwahusisha ndugu wa marehemu?

Na vipi kuhusu alipo aliyekuwa anafuatilia suala la mali hizi? Au Dialo anaendelea kuwa mwangalizi?

Bado nafuatilia nitakuleteeni ishu nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyirabu hakufia Marekani- WEWE NI MUONGO
Huwezi kukiri kuua mtu halafu ukashindwa kueleza alikufaje

Nyirabu afariki dunia


GAVANA wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Charles Nyirabu, amefariki dunia. Habari zilizopatikana Dar es Salaam jana, zilisema Bw. Nyirabu ambaye alikuwa Gavana BoT kuanzia mwaka 1974 hadi mwaka 1989, alifariki dunia jana katika hospitali moja nchini Afrika Kusini. Mwili wa marehemu Nyirabu kwa
 
Now I can see the light. Diallo alikuwa mwanafunzi wa nursing miaka ya 80s hapo Bugando, hakumaliza chuo tukasutukia anaanzisha Sahara iliyokuwa inatengeneza birika ma majiko ya umeme..... Ukiuliza huyu amepata wapi utajiri huu unaambiwa alikuwa mchoji na aliupata Maganzo...... Naachia hapa niendelee kusoma
Kumbe alikua Nesi,

Huo u dokta kaupata lini??

Au nisawa na Prof. Maji marefu??
 
Ni hivi!

Sababu ya kuleta maswali haya ni kwamba. Enzi za Nyilabu akiwa BOT ilikuwa hawaruhusiwi kuwa na Biashara, hivyo Gavana Aliamua kumtumia Antoni Dialo katika uwekezaji wake. Na hivyo aliazisha kampuni kubwa ikiitwa SAHARA Communication ilikuwa inauza vifaa vya umeme under licence ya kampuni ya Ujerumani. Sasa wakati wote ilikuwa akifika Mwanza ilikuwa lazina afike kuona maendelea ya kampuni.

Lakini wakati Gavana akiwa kazini aliugua na kupelekwa kutibiwa nje Marekani lakini bahati mbaya alifariki na alipofariki kwa kawaida Mali zote zilibakia kwa Dialo. Na hadi kuabadili kampuni! Sasa kwa kuwa aliaminiwa Je aliweza kuwahusisha ndugu wa marehemu?

Na vipi kuhusu alipo aliyekuwa anafuatilia suala la mali hizi? Au Dialo anaendelea kuwa mwangalizi?

Bado nafuatilia nitakuleteeni ishu nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nimekuelewa ,

Utajiri wake ni wa dhuluma.

Asante sana mleta mada.
 
Now I can see the light. Diallo alikuwa mwanafunzi wa nursing miaka ya 80s hapo Bugando, hakumaliza chuo tukasutukia anaanzisha Sahara iliyokuwa inatengeneza birika ma majiko ya umeme..... Ukiuliza huyu amepata wapi utajiri huu unaambiwa alikuwa mchoji na aliupata Maganzo...... Naachia hapa niendelee kusoma
Ilikuwa mambo ya maabara mkuu
 
Naomba kuuliza maswali kadhaa kwa Ndugu Anton Dialo.

1. Unamfahamu aliyewahi kuwa Gavana wa BOT enzi ya utawala wa Hayati Mwl Nyerere?

2. Unaifahamu kampuni iliyokuwa inafanya biashara ya vifaa vya umeme wakati ikiitwa SAHARA Communication?

3. Hivi unaweza kutueleza nini Kikitokea baada ya Gavana Nyilabu alipokwenda kutibiwa nje ya nchi na kufariki dunia?

Yangu ni haya tu nikijibiwa ndo nitaazisha mjadala. Na hata kama sitajibiwa nitaazisha pia ili kuna Janbo tulijue kuhusu mtu huyu aliyetutangulia mbele za haki.
Tupakulie Mkuu tumekaa mkao wa kula
 
Back
Top Bottom