Anthony Diallo unamjua huyu?

Anthony Diallo unamjua huyu?

Kumbe hata Sahara Communication sio yake!! Ndo maana huwa siamini matajiri wa kiafrika, unakuta anahamasisha ujasiriamali wakati yeye ana miliki mali zisizo halali.
gwajima alikuwa na shaka hadi uraia wake...no wonder alitetea sana mwenzao wa kanda maalumu pamoja na bashite, hadi na phd yake alikuja hapa siku moja anatuambia ati anaamini bashite ni illuminant/usalama mwenye majina anonymous, hivi usalama wa taifa anaweza kuwa empty headed kiasi kile? kama alizulumu mali za watu arudishe.
 
Ni hivi!

Sababu ya kuleta maswali haya ni kwamba. Enzi za Nyilabu akiwa BOT ilikuwa hawaruhusiwi kuwa na Biashara, hivyo Gavana Aliamua kumtumia Antoni Dialo katika uwekezaji wake. Na hivyo aliazisha kampuni kubwa ikiitwa SAHARA Communication ilikuwa inauza vifaa vya umeme under licence ya kampuni ya Ujerumani. Sasa wakati wote ilikuwa akifika Mwanza ilikuwa lazina afike kuona maendelea ya kampuni.

Lakini wakati Gavana akiwa kazini aliugua na kupelekwa kutibiwa nje Marekani lakini bahati mbaya alifariki na alipofariki kwa kawaida Mali zote zilibakia kwa Dialo. Na hadi kuabadili kampuni! Sasa kwa kuwa aliaminiwa Je aliweza kuwahusisha ndugu wa marehemu?

Na vipi kuhusu alipo aliyekuwa anafuatilia suala la mali hizi? Au Dialo anaendelea kuwa mwangalizi?

Bado nafuatilia nitakuleteeni ishu nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Christopher Nƴaraɓu haƙufariƙi aƙiwa gavana ɓali alikuwa ni ɓalozi na nɗio maana alikuwa anaitwa Ɓalozi Christopher Nƴiraɓu
 
Ila kuhusu issue hii ni kweli nimewahi kuisiƙia sana ɓy the time naishi Mwanza wakati huo kampuni hii iƙiitwa Sahara Marƙeting iliƙuwa inasifiƙa sana ƙwa kutengeneza majiko ƴa Umeme ya sahara na zaiɗi hata vifaa vƴa raɗio na TV nasiƙia ƙampuni hii ilivinunuaga kitamɓo sana kaɓla ƴa mhusika hajafariki then ɓaaɗa ƴa kufariki nɗio iƙawa kama ilivƴo sasa
 
Naomba kuuliza maswali kadhaa kwa Ndugu Anton Dialo.

1. Unamfahamu aliyewahi kuwa Gavana wa BOT enzi ya utawala wa Hayati Mwl Nyerere?

2. Unaifahamu kampuni iliyokuwa inafanya biashara ya vifaa vya umeme wakati ikiitwa SAHARA Communication?

3. Hivi unaweza kutueleza nini Kikitokea baada ya Gavana Nyilabu alipokwenda kutibiwa nje ya nchi na kufariki dunia?

Yangu ni haya tu nikijibiwa ndo nitaazisha mjadala. Na hata kama sitajibiwa nitaazisha pia ili kuna Janbo tulijue kuhusu mtu huyu aliyetutangulia mbele za haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
3: Hata mwl alienda kutibiwa nje hakurudi Mzima.
 
Back
Top Bottom