Kujipendekeza kulimsaidia Mwigulu kurudi kwenye chati!makala ndefu sana na ya kujipendekeza, acha watu watoe maoni yao.
Tumia muda wako mwingi kufanya kazi ili kujiingizia kipato halali badala ya kujipendekeza.
Sasa kumwambia mtu kaa na mavi yako nyumbani, tena hadharani huku dunia nzima ikisikia, unafikiri mtu mzima huyo?Kwamba alikuwa na file Mirembe?
Watu bana
Vyombo vya habari vya Diallo vimeibeba sana ccm na Magufuli wake wakati wa chaguzi zote mbili zilizomuhusisha mwendazake. Diallo alitegemea hisani kubwa kutoka serikali ya ccm kutokana na mchango huo lakini badala yake wakavifungia vyombo hivyo!! Naona hapo uzalendo ulipomshinda Diallo!!😂😂Hawa wakina Diallo,ndio Magufuli alisema.Unaweza kumbeba mgongoni na kumvusha MTO.Ukivuka MTO tu.Anasema limgongo lako linanuka.Huyu Diallo kama aliona Magufuli hamtendei wema.Kwann hakujiuzuru kwa kutumia hata unafiki?Hawa ni wanafiki mbwa .Magufuli amewasaidia ,sasa wanalipa ubaya.RIP baba Magufuli.Wanafiki wote watahaibika.