Ansbert Ngurumo: Lowassa Mpya Amenikumbusha Makubwa

Ansbert Ngurumo: Lowassa Mpya Amenikumbusha Makubwa

CCM ni Lowasa pekee?

Mbona walishahamia CDM wengi toka CCM hamkulalamika?.

Kelele zenu zinareflect maumivu mliyonayo mioyoni mwenu.

Unafiki wenu ndio umewatawala.hakuna lolote,WAtanzania tunawalewa vizuri.
 
Najaribu kujiuliza:-

1. List of shame ilitangazwa 2007, Lowassa na Richmond ilikuwa 2008; kwa nini CDM wanaitumia hii eti ndiyo ilisababisha wamweke kwenye list?

2. Mwl Nyerere aliwahi kumkataa Lowassa na CDM wana ushahidi na wamewahi kuitamka hii kwenye mikutano yao, leo wanasemaje kwamba Lowassa ni msafi?

Anyway, hizi ndiyo siasa zetu.

Kwani Nyerere ni Mungu, huwezi kumkataa binadamu mwenzio wakati ujamuumba, hata wewe ukiacha mke leo, siku tatu anapata mtu anaolewa wewe unabaki na mshangao.
 
kweli ccm kimewauma sanaa mamvi kuwatoroka..poleni kwa kweli...kazi ni moja tuu kuiondoa ccm mengine mtajua nyie....
 
Hana jipya huyo ni maana tonge kama wengine,anaujua ukweli ambao hawezi pingana nao.VIP kura za maoni si kapigwa chini alizusha kupitia gazeti hilo kwamba yeye ndo kiboko yao?ngurumo ninayemfahamu ni wapumbavu wanaoweza kumwamini tu.

Ngurumo alifukuzwa Seminari kama Dr. Slaa!!
 
What we want n kiongozi atayesimamia masuala ya maendeleo akisema tunatekeleza jambo fulan linafanyika kwel na sio viongozi wanaoishia kucheka cheka miaka kumi majukuan Halafu maendeleo ya kupepesa
 
Kwani Nyerere ni Mungu, huwezi kumkataa binadamu mwenzio wakati ujamuumba, hata wewe ukiacha mke leo, siku tatu anapata mtu anaolewa wewe unabaki na mshangao.

Kwani walipokuwa wanaitumia hii na tunawasapoti hatukujua kama Nyerere sio Mungu?

Kama mke nimemwacha kwa sababu ni malaya na jamii inajua ni malaya, na akaolewa na mmoja kati ya watu waliokuwa wanamwita ni malaya; kuolewa hakutabadili ile sifa ya yeye kuwa ni malaya.
 
Kikwete alikuwemo na yumo kweye list of shame...Iweje leo ni Rais?? Kulitokea nini akashinda uchaguziwa 2010?? Mbona haikusemwa sana hiyo list mwaka ule? Iweje leo? Enyi watanzania ni nani katuroga? Kunya anye JK akinya EL yananuka eeeeh.! Swain.

Ile list ilitangazwa 2007, Kikwete kaingia urais 2005 kwa ushindi wa zaidi ya 80%!

Lakini 2010 unakumbuka alipata % ngapi?
 
Ufisadi unachukua muda kufahamika kwenye Jamii, inaweza kuchukua mwaka mmoja mpaka muongo moja (Miaka 10) au zaidi.
Ukisikia ufisadi mwaka huu jua Dili hiyo ya kifisadi ilichezwa miaka kazaa nyuma. Kwa mfano Ufisadi wa Escwro tumeusikia hivi karibuni ni zao la Dili iliyopigwa miaka mingi ilyopita.

Kwa utangulizi huo naomba kujibu maswali yako kam ifuatavyo

1. Chadema kama ilivyo kwa vyama vingine makini ina interegencia kali kufahamu siri nyingi hasa zinazohusiana na Ufisadi mapema kabla ya wananchi ewngine wakawaida kufahamu.

Wakati wanatoa List of Shame 2007 walikua tayari wanajua Ufisadi wa Richmond japo Ufisadi wenyewe Publicaly ulijulikana 2008.

2. Kuhusu Mwl Nyerere kumkataa Lowassa tayari Kingunge ameshalifafanua nitalielezea kifupi hapa.
2005 wakati wa mchakato wa kumpata mpeperusha bendera wa CCM, majina matano yaliletwa na CC kwa NEC ili yachaguliwe majina matatu, katika majina hayo matano jina la Lowassa halikuwemo wajumbe wa NEC walihoji sana kwaninin jina la Lowassa halikuwepo walihoji sana mpaka kutishia mchakato kutoendelea, ndipo Mwl Nyerere akashituka kua kumbe Lowassa ananguvu kiasi hicho. Ili kutuliza munkari wa wajumbe wa NEC ndipo Kingunge akaleta sababu za Lowassa kukatwa na CC, Nyerere akatumia hoja hizo za Kingunge kuwezesha mchakato uendelee.
Hivyo basi Kingunge na Nyerere walifanya hivyo tu kunusuru mchakato na kurinda Heshima ya Chama, na hatuwezi kuhukumu kua Nyerere alimkataa Lowassa. ilikua KISIASA zaidi.

1. Ukimsikiliza Tundu Lissu alichokiongea ni kwamba Lowassa aliingia kwenye ile list of shame kwa sababu ya kuwajibishwa kwenye kashfa ya Richmond.

Tena anasema yeye ndiye aliyeiandaa ile list akisaidiwa na Dr Slaa.

Hii inapingana na jibu lako mkuu, na Tundu Lissu anachokifanya ni kwamba Watanzania hatuna culture ya kufatilia kitu gani kilitangulia kabla ya kingine, hivyo itapita.

2. Umejibu kisiasa pia.

Anyway, Chadema waombe huu uchaguzi upite kwa wao kushinda, wakishindwa watarudi nyuma sana! Na mpaka sasa naiona ajenda yao imechenji moja kwa moja kutoka kwenye chama cha kutukomboa mpaka kwenye chama kinachotaka kutawala regardless!
 
MI narudi nyumbani maana nyumba xaxa INA usimamizi bola nawatakia upotevu mwema wanachama narudi home byyyyyyeeeeeee
 
Kwani walipokuwa wanaitumia hii na tunawasapoti hatukujua kama Nyerere sio Mungu?

Kama mke nimemwacha kwa sababu ni malaya na jamii inajua ni malaya, na akaolewa na mmoja kati ya watu waliokuwa wanamwita ni malaya; kuolewa hakutabadili ile sifa ya yeye kuwa ni malaya.
Kumbe hujui kitu hata malaya magdalena alivyotubu sasa hivi anaitwa Mtakatifu, Lowassa amejieleza mbele yetu tumemsikiliza tukamsamehe, tukampokea.
 
Njaa ukiiamishia kichwani mavi unaweza kuyaita ugali fisadi wa kuaminika leo anatetewa na watu ambao walikua mstali wa mbele kupinga ufisadi

Sasa mnapiga kelele za nini? kila siku Lowasa Lowasa mwacheni, kama kajimaliza kisiasa atajua yeye. Inaonekana mlivyoumia alivyohamia cdm.
 
Back
Top Bottom