Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Nipo mpendwa niliponyoka lile dege lilipotea... hahahhaaa

Karibu bodabodani huku walao ukivaa helmet unakata tu upepo kama firstjet.

Wishing you luck... hope next haitakua tu crush...
Hahahaaa sijakutosa mangi, mizunguko ya town na mvua hizi imekuwa tight, upo? Halafu bora nami nihamie kwenye toyo hizi crash ziishe maana naona zinaongezeka tuu na kunichanganya kichwa.
Usiishiwe ham bana...pls
 
You might be right though I dont think so coz nilishaamuaga kuwa single for my own reasons sasa hz crash zanchanganya why zije kwa kufuatana na zinaonekana kuwa na nguvu japo napigana nazo nibaki kwenye set yangu ya u single....

..maamuzi yako ni mazuri ila je, mwili unaweza?? Kuwa single sio kitu rahisi sana, ndio maana ukiwa kwenye gari mara akapita mtu akigonganisha macho ma wewe mwili unashtuka kidogo, akili inasimama kidogo, I just think that you ought to review your decision, coz your actions show that you can't keep the promise you made to yourself.
 
Eehhhh pole na hongera kwa kunusurika na ajali ya dege, sasa itabidi utumie za humuhumu ndani hasa hiyo fastjet si unajua pasaka inakuja long weekend shurti kwenda kuifaidi skukuu kijijini
Ntahamia kwenye toyo nipate upepo na mie unaoufaidi looh
Nipo mpendwa niliponyoka lile dege lilipotea... hahahhaaa

Karibu bodabodani huku walao ukivaa helmet unakata tu upepo kama firstjet.

Wishing you luck... hope next haitakua tu crush...
 

You have a point ila ntachanganya na zangu kisha ntachekecha, thanks man!!
 

Kweli wee pendapenda Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Ni PM basi tufunge mjadala na wajumbe hapa waendelee kuisaka MH370 na kufuatilia bunge na npo serious sana u jst PM fasta hutojutia maamuzi yako. Na kuhusu Toyo pia pale mh2 wameanzisha wadi maalum kabisa na zipo spea za viungo toka uchina

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 






Acha matangazo mkuu!
 
Inaelekea unaiwazia sana ndoaaa...af hakuna aliekuja kutiririsha maji,.....Mume mzuri yupo njian anakujaa,hata ivo mume popote anapatikana
 
Hahahaaaa umenifurahisha kwa kweli, thanks man kwa kujitolea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…