Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari za mijengo yenu wapendwa, leo tena imejirudia crash kama ile ya kipindi kile sasa sjui mie ni wa crash tuu.

Na kama wakati ule sijapata nafasi ya kuchukua namba ya simu ila tulipigiana honi tuka smile.

Mara hii nilikuwa natoka airport kufatilia mzigo flani nikasema wacha nipite sokoni buguruni nichukue matunda ya kutengeneza smoothie za wiki nzima.

Sasa narudi home kupitia mandela road nikiwa kwenye mataa ya buguruni ikaja Nissan march T....CSL ilikuwa ya rangi ya orange.

Tumetazamana weeh mwisho tuliporuhusiwa tukiwa mandela road ndo tukapigiana honi, this time nilikuwa kwenye grand noah V6, sasa mie nikabaki nyuma nilikuwa naenda sped 40 yeyeakatangulia akaniacha ila kufika tabata kubwa nikaona anakata kuelekea tabata basi ndo ikaishia hapo.

Nimejiuliza tuu, nitapata mume kupitia crash za barabarani hivi maana hii mara ya pili sasa.

Halafu huyunaeni m cutee, yaani hand some kweli mmmhhh Kasinde mie nini kinanitokea...?

Ntarudi kwenye bajaji maana naona hizi crash.... sijui mwisho wake labda ndo husband anakuja kwa njia hiyo.... let me see mwisho wake utakuweje..!

Usiku mwema nyote!
 
Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.
 
Mpwa MANI na zumbemkuu Nimepata demu Huku anasema eti ni Nissan March wakati ni kale ka Duet kangu, nilikua Ndio narudi home ILA nikapitia Tabata Bima kwa Mpwa wangu Excel

Nilimpuuzia maana alikua kajiremba kweli kweli ILA namba ya Gari kapatia T 2....CSL
 
Last edited by a moderator:
Ni crash au crush?

Hata sielewi nikivutiwaga na mtu hata maana ya maneno sikumbuki nisaidie tuu kunirekwbisha ila nimegongana macho kwa macho na kijana wa nissan march, yaani wananichanganya au wananifanyia kamchezo usikute wananidatilia mie sijui halafu mi nafikiri ni coincidence tuu.... mmmhh ila daaahh!! angepaki gari pembeni......
 
kumbe unataka mume tu...?njoo hapa...

Nilishajiamulia kuwa single for the rest of my life bila hata kuwa na mtoto ila yule kijana wa kwanza wa nissan alinifikirisha vingine nikasahau sass huyu tena ameibuka hata nazidi kuchanganyikiwa....
 
Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.

Mbona karata uliyocheza ni garasa badala ya kucheza kingi? Au ndo ile umebanwa imabidi ujisetiri tuu, haya bwana
 
Hilo nalo neno lakini si main point, haswa ni kujirudia kugongana macho na kuishia kupigiana honi barabarni na vijana wa nissan wana nini nami? Kwani kunitokea mie tuu? Au wengine nao huwatokea?

kumbe main point hapa ni kwamba,

HUJAOLEWA!!!
 
Mpwa MANI na zumbemkuu Nimepata demu Huku anasema eti ni Nissan March wakati ni kale ka Duet kangu, nilikua Ndio narudi home ILA nikapitia Tabata Bima kwa Mpwa wangu Excel

Nilimpuuzia maana alikua kajiremba kweli kweli ILA namba ya Gari kapatia T 2....CSL

Halafu nilitaka kusema hili mara zote napata mgongano huo hata wanja sijapaka, yaani sijapaka poda wala lips shine wala make up ya aina yoyote. Nilikuwa naturali ila jamaa akaanza na mambo!! Na kama yako ni duet haukuwa wewe tha car was nissan na nyuma ya gari siti ya nyuma alikuwa ameweka tenga la plastiki kama la kuwekea pakti za maziwa au mikate. Sorry braza it wasnt u!!
 
Last edited by a moderator:
Kasinde alivyokunja kona ungekunja nae bahati ya pili hiyo waipoteza
 
Last edited by a moderator:
Mpwa MANI na zumbemkuu Nimepata demu Huku anasema eti ni Nissan March wakati ni kale ka Duet kangu, nilikua Ndio narudi home ILA nikapitia Tabata Bima kwa Mpwa wangu Excel

Nilimpuuzia maana alikua kajiremba kweli kweli ILA namba ya Gari kapatia T 2....CSL

Sasa mpm basi umalize mambo.cc NAKIVONA
 
Last edited by a moderator:
Halafu nilitaka kusema hili mara zote napata mgongano huo hata wanja sijapaka, yaani sijapaka poda wala lips shine wala make up ya aina yoyote. Nilikuwa naturali ila jamaa akaanza na mambo!! Na kama yako ni duet haukuwa wewe tha car was nissan na nyuma ya gari siti ya nyuma alikuwa ameweka tenga la plastiki kama la kuwekea pakti za maziwa au mikate. Sorry braza it wasnt u!!
halafu kasinde, kwanini crash zako zoote ni za uswazi?? lols!

hebu siku moja chepuka hadi road za baharini baharini huku na ubalozi wa US uone kama utapata crush!

kuna watu wako bize mjini humu hadi huruma...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom