Another BossLady in the House, Hodiii

Me nina maswali mawili Hivi:

1. ukiwa na Multiple ID Admins wanajuaje? Wanaangalia IP Adress au?

2. pia ni kosa? maana naona Otieno kala ban.

(Kijaluo Otieno = Mwanaume aliezaliwa usiku)

Sent using Jamii Forums mobile app
IP address inaweza kuwa tofauti, lakini MAC address haibadiliki maana inatambulisha PC/Laptop/Simu kupitia Network Interface Card. Ndo maana yatupasa kutumia mtandao kwa busara maana hawa jamaa wanakusanya taarifa nyingi kutoka kwetu na vifaa tunavyotumia.

Ushauri kwa JF, kwanza waache kuonyesha aina ya vifaa(simu) ambazo member anatumia kupost na wasizihifadhi maana zinaweza kuwa-hacked. Pili isiwe dhambi mtu kuwa na multiple ids, ili mradi hatapeli basi hakuna shida, inasaidia kulinda cover ya mtu.
 
Hodi humu!

Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:

* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social

::::::::::::::::::::::::::::::::::::

Haya nimerudi tena binti Husna Husnadat The Boss Lady:) comment ni nyiiiingi, PM ndo kabisaaa....jamani hivi hamna wake nyie wababa?? Wapi nimesema natafuta kuolewa? Wengi wameandika ati njoo pm tuyajenge!! lkn hasemi tuyajenge manini hayo. Mwingine anasema kwa uvaaji huo wewe hufai kuwa Headmistress, utadhani hapo nilipo ni uwanja Wa shuleni!!

Halafu, kwann wanawake wenzangu mmekwazika Mimi Kuweka picha? Kwani nyinyi mnachoshindwa nn? au mnatafutwa na Serikali!! Mwanamke kujiamini kha! Picha zenyewe nakula makongoro lkn mwanaume roho juu...je nikiweka za Photoshoot au gym si ndio mtawehuka....mimi sina kipya ila ni descent lady mwenye maisha yake na ajira yake.

Mwingine anasema ati nimfate PM! haloo mm ndo nafuatwa, mm sifati wanaume...na ukija pm kuuliza nafundisha shule gani basi uandae kumregister mwanao huku.

Mnaoniomba Eid, mm kesho nashinda zangu home kuangalia series, sitembeagi ovyo jamani ee....the boss lady ni humble and loving and friendly lkn sio kwa maswali ya kipuuzi...huko n kukoswa kazi.

Nyt nyt wooote mlionikaribisha kwa mapenzi mema. Inshallah tutazidi kufahamiana zaidi.
View attachment 530266 View attachment 530267 View attachment 530268 View attachment 530270
Uko vzr Bosslady naona ubora wa Mwenyezi Mungu katika uumbaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IP address inaweza kuwa tofauti, lakini MAC address haibadiliki maana inatambulisha PC/Laptop/Simu kupitia Network Interface Card. Ndo maana yatupasa kutumia mtandao kwa busara maana hawa jamaa wanakusanya taarifa nyingi kutoka kwetu na vifaa tunavyotumia.

Ushauri kwa JF, kwanza waache kuonyesha aina ya vifaa(simu) ambazo member anatumia kupost na wasizihifadhi maana zinaweza kuwa-hacked. Pili isiwe dhambi mtu kuwa na multiple ids, ili mradi hatapeli basi hakuna shida, inasaidia kulinda cover ya mtu.
Werevu wengi hua tunatumia VPN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
764139058000b0a292d680406024059e.jpg


Huez kua mgeni humu alafu post yako kwanza ikawa hii... hii ni mwenyeji ila ni ID mpya tu!


88f186264b786fc11fb9019c8655f4ee.jpg


Wasiwasi wangi ni kua unaeza kua mwanaume asee! Sio kwa fujo hizo za new id
Wahenga wa JF walishatabiri ujio wa Boss lady
 
Back
Top Bottom