longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
hahaha kali ya kufungia mwaka
hahahahah jamani hahahahehehehe
uuuuwiiiiiii
hahahahah jamani hahahahehehehe
uuuuwiiiiiii
ulikamatika?Nadhani umekuja wakat mujarab, meet the boss G' Extrovert!
Maskini vidume vya jf vimeingizwa chaka
Wakati yupo bosslady hukuugusa huu Uzi, sasa yupo otieno umetia maguuMaskini vidume vya jf vimeingizwa chaka
Ha ha ha Sipati picha wazee wa pm walivobembelezwa hukoKwi kwi kwi kwi chezeya JF weye! Ukiingia kichwa kichwa lazima ulizwe. From Bosslady to Erick Otieno hahahahaha.
We ndio otieno mwenyewe nini!???Wakati yupo bosslady hukuugusa huu Uzi, sasa yupo otieno umetia maguu
Sawa Erick otieno wamekusikia mashosti zako
Huez kua mgeni humu alafu post yako kwanza ikawa hii... hii ni mwenyeji ila ni ID mpya tu!
Wasiwasi wangi ni kua unaeza kua mwanaume asee! Sio kwa fujo hizo za new id
Demu mwenyewe hovyo ivo si unajua kuwafariji muhimu. Ajione nae mtu ila hamna lolote!ulikamatika?
Hahahahaaa, Mimi ni " The Bourne" rafiki yake Tee Bag ambae ana BAN ya mwaka mzima, nimeuliza tu, maana katika Uzi ambao wanawake waliuchukia ni wa bosslady,We ndio otieno mwenyewe nini!???
Wakati yupo bosslady hukuugusa huu Uzi, sasa yupo otieno umetia maguu
Nawe ulikua kwenye msafara kumbe
Mwanaume kujifanya mwanamke ni dalili za kufilisika akili na nguvu za kiume na kukaribisha Ushoga Tz.Mwanaume kujifanya mwanamke ni dalili mbaya sana.
Alikuwa kazini huyo.Mwanaume kujifanya mwanamke ni dalili mbaya sana.
Alikuwa kazini huyo.
Kuna walioliwa pesa zao.
Kuna watakao kamatwa kama kuku kutokana na makosa ya kimtandao kwa wale waliotoa namba za simu na utambulisho wao halisi.