Annual increment zimeishia kwenye payroll tu?

Annual increment zimeishia kwenye payroll tu?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,616
Reaction score
164,653
Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.

Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na hata foleni za kwenye ATM jioni hii zinathibitisha hilo tofauti na jana na juzi lakini mtumishi mmoja tunaefahamiana katoka kwenye ATM muda huu anadai hakuna kilichobadilika.

Swali ni je,hiyo increment imeishia kwenye payroll tu au hii increment inatolewa kwa mafungu?
 
Mods naomba huu uzi ujjtegemee.

Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.

Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na hata foleni za kwenye ATM jioni hii zinathibitisha hilo tofauti na jana na juzi lakini mtumishi mmoja tunaefahamiana katoka kwenye ATM muda huu anadai hakuna kilichobadilika.

Swali ni je,hiyo increment imeishia kwenye payroll tu au hii increment inatolewa kwa mafungu?
Ngoja waje wenyewe watufafanulie .
 
Mods naomba huu uzi ujjtegemee.

Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.

Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na hata foleni za kwenye ATM jioni hii zinathibitisha hilo tofauti na jana na juzi lakini mtumishi mmoja tunaefahamiana katoka kwenye ATM muda huu anadai hakuna kilichobadilika.

Swali ni je,hiyo increment imeishia kwenye payroll tu au hii increment inatolewa kwa mafungu?
Hapana kipo, ni kuanzia 10,000 to 120,000 ... katika range hiyo kufuatana na cheo/ngazi ya mshahara. It is peanut, naweza nikaita rubbish. elfu kumi maisha ya leo?
 
Ngoja wenyewe wajipandishie mishahara yao na marupurupu ni mamilioni kwa kila mmoja wengine mpaka wanadanganya mishahara yao ya kweli. Mie Rais wa wanyonge! Meaning Rais wa kugawa rushwa kwa wachumia tumbo wa upinzani.

Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.

Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na hata foleni za kwenye ATM jioni hii zinathibitisha hilo tofauti na jana na juzi lakini mtumishi mmoja tunaefahamiana katoka kwenye ATM muda huu anadai hakuna kilichobadilika.

Swali ni je,hiyo increment imeishia kwenye payroll tu au hii increment inatolewa kwa mafungu?
 
Ngoja nikomae na Forex Trading...
Kufikia January kubabake nitemane kabisa na utumwa wa Utumishi wa Umma.
Fucck. Bull shit.
 
Mim increement haina umuhimu kwangu chenye umuhimu ni kupanda daraja mim nimeongezewa elfu 8 tu wakari serikali naidai daraja langu duuuu inauma sana
 
Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi.

Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na hata foleni za kwenye ATM jioni hii zinathibitisha hilo tofauti na jana na juzi lakini mtumishi mmoja tunaefahamiana katoka kwenye ATM muda huu anadai hakuna kilichobadilika.

Swali ni je,hiyo increment imeishia kwenye payroll tu au hii increment inatolewa kwa mafungu?
Watumishi wa ajira mpya 2017 hawajaongezewa na hata payroll zinaonyesha hivyo
 
Salary slip usiniumize haki ya nani, huu ni uhayawani na upumbavu huwezi kuniongezea elfu 7 halafu uende ukatangaze mitaani umeniongezea mshahara ambapo nyongeza yenyewe niliitegemea kwa miaka miwili nasema ni upumbavuuu! Natafuta namna ya kuwarudishia kahela kao wasije wakasema waliniongezea pumbavu kabisa!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Kuwa mtumishi wa umma katika awamu hii ni kipimo cha uvumilivu wa hali ya juu.
 
Kwakweli Jakaya Kikwete tutakukumbuka watumishi wa umma angalau kila mwaka ulituongezea 100,000 Huyu wa sasa katuongezea haizidi 30,000 kwa miaka miwili na analazimisha watu wa msifu .

Hivi Rais Mafufuli mbona unatuchukia sana watumishi wa umma na kuwapendelea watumishi wako wateule wa kisiasa ,watumishi wa umma tumekukosea nini hadi unatuchukia hivyo? Sio wote runs vyeti feki kama bashite au wala rushwa lakini unaonekana una hasira na sisi .
Na sisi tunakuahidi tutalipa kisasi kimya kimya matokeo ya darasa la saba na form 4 yatathibitisha ukweli wa hasira zetu ila kama kawaida yenu mtapika matokeo ya kuwafurahisha team Lumumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom