Kayabwe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 355
- 51
Mbunge wetu wa Same Mashariki ametusaliti baada ya kutuahidi Kiwanda cha tangawizi kitaanza kufanya kazi msimu huu wa mavuno na kupandisha bei kutoka 1200 hadi 2500.
Kutokana na ahadi yake sisi wananchi tukatumia juhudi kubwa ya kulima tangawizi kwa feza za mikopo kutoka SACCOS zenye riba kubwa na maduka ya watu binafsi kwa riba kubwa.
La kushangaza hadi leo kiwanda hakijaanza kazi na bei imeshuka hadi 700. Linalouma zaidi Wabunge wenzake wanaotoka sehemu wanazo lima Pamba, Korosho mpaka Alizeti wanatetea Wananchi wao Bungeni yeye yupo kimya.
Au na Swala hilo liko Mahakamani?.... Halipaswi kuongelewa Bungeni?
Kutokana na ahadi yake sisi wananchi tukatumia juhudi kubwa ya kulima tangawizi kwa feza za mikopo kutoka SACCOS zenye riba kubwa na maduka ya watu binafsi kwa riba kubwa.
La kushangaza hadi leo kiwanda hakijaanza kazi na bei imeshuka hadi 700. Linalouma zaidi Wabunge wenzake wanaotoka sehemu wanazo lima Pamba, Korosho mpaka Alizeti wanatetea Wananchi wao Bungeni yeye yupo kimya.
Au na Swala hilo liko Mahakamani?.... Halipaswi kuongelewa Bungeni?