Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kwa mawazo yako unadhani ni nani katulia Kiranga? hebu tupe jina tafadhari
John Samuel Cigwenyemisi Malecela.....Kwa vigezo vya CCM huyu ametulia sana
Kwa mawazo yako unadhani ni nani katulia Kiranga? hebu tupe jina tafadhari
Kumchagua kuwa mbunge haimaanishi kwamba 'anafaa', kuna watu bogus wengi tu wameshinda, mathalan kuna wanachi kule kwene constituency ya Chenge wamechagua kwa kishindo, hiyo nayo utaizungumziaje?
Kilango Kilango....hafaiiiiii kabisa kua spika!
abakie kama mbunge period!aghhhhh
- Mama Anne Kilango Malecela, amekuwa mbunge wa muda mrefu sana sasa toka wa kuteuliwa na Rais Mkapa, na hii ni mara ya pili anachaguliwa na wananchi kuwakilisha jimbo lake la Same East,
- Akiwa bungeni, amekuwa mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama, Makamu wa Mwenyekiti Miundo Mbinu, Mwenyekiti kamati ya Maadili ya bunge, kama ni mabifu yangejiotokeza kwenye hizo kamati hasa akiwa Mwenyekiti wa Maadili ya bunge,
- Sheria iko wazi kwamba mbunge yoyote anaweza kugombea na kuchaguliwa kuwa Spika, wananchi wa Same East siamini kwamba wanaweza kumuondoa Waziri maarufu kama Daniel Yona na kumpa Jimbo Mama Kilango, ambaye ni mapepe na hajatulia mambo mengine ni kwa Great Thinkers kutumia common sense japo kidogo tu kabla hutjaandika hapa uwanja mtukufu.
William.
spika wa sasa tunamtaka Ismail Aden Rage,
1. Nani kamkataza nani kuchukua fomu? Siye miye niliyesema mama ana haki ya kugombea cheo kama Matonya alivyo na haki ya kugombea urais, lakini the fact kwamba Matonya ana haki ya kugombea urais haimfanyi kuwa anafaa kuwa rais? Umeniona kuandamana kufunga njia mama asichukue fomu? Nimeweka pingamizi sehemu yoyote asichukue fomu?
2.Kusemekana ndiyo basis ya forum, tuna discuss validity ya uwezo wake, kuna watu mpaka wa familia yake wamechangia thread, hawajakanusha, wanamtetea mama ana uwezo, sasa kama mimi naona hana uwezo kwa nini nisiseme?
3. Demokrasia ina mipaka yake, lakini mipaka hii hainifungi nisizungumze nani anafaa kuwa spika na nani hafai.Mind you, sijataka kuingia mjengoni nikapige kura ya kumkataa au kumkubali mtu kuwa spika, sina privilege wala muda huo.Point yako ya kwamba sina haki ya kumchagua Spika ingekuwa valid kama ningekuwa nataka kumchagua Spika, mimi sitaki kumchagua Spika, sifungi safari Dodoma, natoa maoni yangu tu. Tuna wabunge wengi sana wanaoingia hapa kila siku, wanaweza kuona maoni yangu yakawasaidia kuamua, si ndiyo maana ya "representative democracy" hiyo? Kwamba badala ya sote milioni 40 kwenda Dodoma, tunawatuma wabunge mia chache waende kutuwakilisha, tunawapa mawazo yetu wayafikishe kama wakiona sawa, na mimi natoa mawazo yangu, sasa kibaya kipi hapo?
Au Tanzania siku hizi wananchi hawaruhusiwi kutoa maoni yao kuhusu uongozi wa juu wa nchi? Mimi nilifikiri hii ni haki ya kikatiba na ushirikishwaji wa umma maana yake wananchi wasiwaachie wabunge maamuzi yote, bali kuwe na ushirikiano, sasa wewe unasema tuwaachie wabunge wafanye kila kitu hiyo ni "representative democracy" kweli ?
Mkuu safari ni safari,wabunge siyo machifu kwamba lazima awe wa kabila la eneo analowakilisha. ndiyo maana Joseph Mbilinyi (mkinga) ni mbunge wa mbeya mjini kwa wasafwa!
Huyu mama hana uwezo wa kuchambua mambo huwa anakariri tu, na kung'ang'ania
hana tofauti na JOSEFINE MUSHUMBUZI, ILA YEYE ANNE KILANGO ANA AFADHALI KIDOGO KWANI HAJAIKIMBIA NDOA YAKE WALA KUINGILIA NDOA YA MWINGINE.Huyu grace Mugabe (Anne Malechela) anafagilia ufisadi uliofadhili ndoa yake hata Sofia Simba anajua! Kifupi hafai kabisa
Naomba uniruhusu nirudie tena ulichokisema ili kuhakikisha tuko ukurasa mmoja na mlengwa:William,
You have family connection to this madam, therefore, truth be told, you could never be objective on this matter.
hana tofauti na JOSEFINE MUSHUMBUZI, ILA YEYE ANNE KILANGO ANA AFADHALI KIDOGO KWANI HAJAIKIMBIA NDOA YAKE WALA KUINGILIA NDOA YA MWINGINE.
- Mama Anne Kilango Malecela, amekuwa mbunge wa muda mrefu sana sasa toka wa kuteuliwa na Rais Mkapa, na hii ni mara ya pili anachaguliwa na wananchi kuwakilisha jimbo lake la Same East,
- Akiwa bungeni, amekuwa mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama, Makamu wa Mwenyekiti Miundo Mbinu, Mwenyekiti kamati ya Maadili ya bunge, kama ni mabifu yangejiotokeza kwenye hizo kamati hasa akiwa Mwenyekiti wa Maadili ya bunge,
- Sheria iko wazi kwamba mbunge yoyote anaweza kugombea na kuchaguliwa kuwa Spika, wananchi wa Same East siamini kwamba wanaweza kumuondoa Waziri maarufu kama Daniel Yona na kumpa Jimbo Mama Kilango, ambaye ni mapepe na hajatulia mambo mengine ni kwa Great Thinkers kutumia common sense japo kidogo tu kabla hutjaandika hapa uwanja mtukufu.
William.