PostGE2025 Anna Tibaijuka: Tusimpe Shetani nafasi ya kutugawa kupitia propaganda za Udini kwa kuwatuma vijana kushambulia viongozi wa dini

PostGE2025 Anna Tibaijuka: Tusimpe Shetani nafasi ya kutugawa kupitia propaganda za Udini kwa kuwatuma vijana kushambulia viongozi wa dini

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mbunge wa zamani wa Muleba Kusini na waziri wa Ardhi katika serikali ya awamu nne Prof. Anna Tibaijuka kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Anaandika;

"Wakati tunasubiri Tume ya Uchunguzi kutupa taarifa na majibu ya kina kuhusu mauaji ya 29 Oktoba, uwajibikaji stahiki na mbinu za kuliponya taifa tusimpe shetani nafasi kutugawa zaidi kwa kisingizio cha propaganda uchwara za udini kwa kuwatumia vijana wasiojitambua kuwashambulia viongozi wa dini zetu mbalimbali.

"Ni fedheha. Kama ilivyo kwa sisi wazee, ni wajibu wa viongozi wa dini wawe wa TEC au BAKWATA au KKKT na CCT kutulea katika maadili mema ya haki na upendo na kutukumbusha amri za Mwenyezi Mungu; Usiue, Usiibe, Usiseme uongo, nkd, ili kudumisha amani.

"Tusiwakasirikie na kuwadhihaki wanapofanya kazi zao vizuri. Ni faida kubwa kuwasikiliza. Ndiyo HESHIMA na HEKIMA."
1767090437098.png
 
Tusimpe nafasi wakati tayari yupo ikulu?
Na tume ipi anasemea
Halafu eti ni profesa

Huyu maza kumbe ni kiazi pimbi profesa empty head!
 
Huyu si aliwahi sema bilioni ni pesa ya mboga. Kwa wenzetu wachina huyu sidhani km angekuwepo nasi.

..hukumuona kalasinga wa IPTL katika hafla ya kumchangia Mama Abduli fedha za kampeni? Ndani ya masaa machache walimchangia billioni 100.
 
Huyu si aliwahi sema bilioni ni pesa ya mboga. Kwa wenzetu wachina huyu sidhani km angekuwepo nasi.
Ilikuwa ni milioni 10, Na Kwanini iwe kwa wenzetu wachina ndio angewajibishwa, ina maana tuna serikali ya hovyo ambayo ukiwa upande wao hata kama ni mwizi watakuacha ila ukianza kuwasema ndio wanakugeuka, sasa tulieni tu awachape za uso sababu mlishindwa kumwajibisha alipokosea kisa alikuwa mwenzenu
 
Huyu ndioalistahili kuwa rahisi mwanamke ila shetani kamuweka mtu wake lijini lenye kunyonya na kunywa damu za watu.
 
Back
Top Bottom