JOHN WA MARWA
Senior Member
- Nov 16, 2013
- 100
- 61
Kwa Tanzania ilipofikia tunahitaji mtu makini na shujaa kama mama Anna Mgwira. Kwa baadhi waliokwisha fanikiwa msikiliza wataelewa kwanini mama huyu anastahili kushinda uchaguzi huu na kukamata usukani wa nchii hii.
Ni mwanamke ila anazielewa shida zetu na njia sahihi za kuzitatua kuliko wanaume wote waliojitokeza achilia waziri Mkuu aliyestaafu na waziri wa wizara mbali mbali.
Ni mwanamke ila anazielewa shida zetu na njia sahihi za kuzitatua kuliko wanaume wote waliojitokeza achilia waziri Mkuu aliyestaafu na waziri wa wizara mbali mbali.